Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
- Thread starter
-
- #41
Ni mtazamo wako hatuna budi kuheshimu mtazamo wakoWote Simba na Yanga hawajawahi kuwa na wachezaji wazuri ila majina tu na mpira si jina bali kipaji na akili. Binafsi sijawahi ona mchezaji yeyote mzuri toka hizi club tajwa na ndiyo maana hatujawahi kufanya vizuri katika mashindano ya kimataifa.
Msuva siyo mchezaji mzuri? Samatta je? Ajibu ,Mrisho Ngassa etc.Acha dharau mkuu.Wote Simba na Yanga hawajawahi kuwa na wachezaji wazuri ila majina tu na mpira si jina bali kipaji na akili. Binafsi sijawahi ona mchezaji yeyote mzuri toka hizi club tajwa na ndiyo maana hatujawahi kufanya vizuri katika mashindano ya kimataifa.
Wote Simba na Yanga hawajawahi kuwa na wachezaji wazuri ila majina tu na mpira si jina bali kipaji na akili. Binafsi sijawahi ona mchezaji yeyote mzuri toka hizi club tajwa na ndiyo maana hatujawahi kufanya vizuri katika mashindano ya kimataifa.
Yaah rajab rashidi anajichanganya kwa kusikia filimbi ya mashabiki na kudhani ni ya muamuzi anaukamata mpira ndani ya kumi na nane mwamuzi anaweka tuta almarhumu gaga anapiga mpira unagonga mtambaa panya kisha yanga wanaenda kupata bao. Wale ambao walikuwa wakifuatilia mpira kupitia RTD khasa mashabiki wa simba wanashangilia bao wakidhani gaga kaukwamisha mpira kumbe sivyo. Simba alikula tatu kwa moja mabao ya yanga yakifungwa na makumbi juma (homa ya jiji )Thomas kipese na sanifu razaro (tingisha ).
Namkumbuka huyu MidoKuna mrundi mmoja wa kawaida sana MWINYI RAJABU nae alizitikisa timu zote mbili
Tuko naye jamaa huku mbez pamoja na Aboubakary salum
Rambirambi ya Mafisango nayo ililiwa na wahindi wa Yanga.Bado.anapiga kinywaji baa ile ile pale mbezi??.. kina gulamali mungu anawaona!!..walimfanya asiendelee na masomo yake na kumsajili...baadae akaenda ujerumani walimrudisha Tz then wakamtosa na umasikini wake..lkn wahindi wa yanga wana tatizo hilo historically bora simba kina dewji waliwatoa kina mogela mwameja dua said masatu kaseja nk..lkn yanga mtu kama lunyamila anakuja kusaidiwa na harambee za kina shiffih dauda kutibiwa malaria? Kizota?? Mwanamtwa?? Dah Sad!
Yaah pia alikuwepo ndugu yake khamis kondo alikuwa mbabe sanaulinzi wa Simba chini ya beki mbovu kabisa kuwahi kutokea ADOLPH KONDO
Siku Thomas Kipese "uncle Thom" anasajiliwa Simba niliumia sana....Pia said mwamba
Thomas kipese
Athman china
Waliweza kucheza kwa kiwango kikubwa timu zote mbili.
Mwanamtwa Kihwelumethod mogella aka fundi, dally kimoko fundi mwingine huyu kutoka ukoo wa kihwelo, steven nemes,
Mwanamtwa Kihwelu
Muhesa Kihwelu
Jamhuri Kihwelu
Maanamtwa alicheza Yanga sikumbuki kama alicheza Simba...
Jamhuri ni Simba wa kufa mtu..
Muhesa nadhani ni neutral...
Yaah wote hao walikuwa na uwezo wa kucheza soka nje ila tuseme sijui kutotambulika kimataifa maana mtu kama selif keita mjomba wake na seydou keita aliekuwa barca kenda kucheza nantes miaka ya sitini alipo staafu akaja fungua academy ambayo huyo seydou keita aliendelezwa kisoka hapo. Sasa sisi wengi wa wachezaji wetu ilikuwa wanaishia fanja ya oman basi.Siku Thomas Kipese "uncle Thom" anasajiliwa Simba niliumia sana....
Hata Saidi Mwamba "Kizota"...
Athuman Abdalah "China" alisajiliwa Simba baada ya kutoka Uarabuni...
Umetaja "Mrundi" nikamkumbuka "Mnyarwanda" Constantine Kimanda....Kuna mrundi mmoja wa kawaida sana MWINYI RAJABU nae alizitikisa timu zote mbili
Hivi hii Fanja ipo kweli?Yaah wote hao walikuwa na uwezo wa kucheza soka nje ila tuseme sijui kutotambulika kimataifa maana mtu kama selif keita mjomba wake na seydou keita aliekuwa barca kenda kucheza nantes miaka ya sitini alipo staafu akaja fungua academy ambayo huyo seydou keita aliendelezwa kisoka hapo. Sasa sisi wengi wa wachezaji wetu ilikuwa wanaishia fanja ya oman basi.
sawa mhengaEzekiel Greyson kutoka Yanga kwenda Simba. Ilikuwa vurumai kweli . Miaka ya 70 hiyo wengi wenu hamukuwa mumezaliwa.
darik mokomwanamtwa alitoka simba kwenda yanga
Yaah pia alikuwepo ndugu yake khamis kondo alikuwa mbabe sana