Wachezaji waliofukuzwa uwanjani kwa kelele za mashabiki wasiojua mpira

Wachezaji waliofukuzwa uwanjani kwa kelele za mashabiki wasiojua mpira

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Nikweli usiopingika kuwa Soka la tanzania limetawaliwa na mashabiki wanaoendeshwa na mihemko, hii hapa Orodha ya wachezaji wazuri waliokimbia Clabu zao na kutundika Daluga au kuhamia vilabu vingine

1. David Molinga , Yanga, huyu alikuwa mchezaji nzuri aliyeweza kufungua zaidi ya goli 7 kwa msimu baada ya Kelele za mashabiki akaamua kusepa zake

2. Joash Onyango Simba, Alikuwa beki kwelikweli, muunganiko wake nzuri ndani ya Simba uliipa Simba mafanikio, tangu Kuondoka kweke ukuta wa Simba una matatizo makubwa

3. John Raphael Bocco, Simba, mfungaji Bora wa Muda wote katika Soka la Tanzania, na forward mwenye uwezo wakufunga Goli 10 kwa msimu, aliamua kujiondoa kwenye kikosi Cha Simba baada ya Kelele za mashabiki walioenda mbali zaidi na kumuita mchawi,, Baada ya Kuondoka Simba, Safu ya ushambuliaji Simba imekuwa butu na kuwanyima Simba ubingwa. Kama bocco angekuwepo asingekosa Goli 9 katika Msimu ambazo huenda zingeipa Simba ubingwa, licha ya kufungua Bocco nikiongozi nzuri uwanjani.

4. Laudit Mavugo, Simba, Haieleweki aliondokaje Simba lakini katika Msimu aliocheza Simba alifunga Goli 7 kitu ambacho hakijafanywa na mfungaji yeyote wa Simba kwa siku za karibuni

5. Juma kaseja' Juma Golikipa wa zamani wa Simba Yanga, kagera na mbeya city, pengine mchezaji maarufu zaidi katika Karne ya 21 na mchezaji aliyecheza zaidi ya miaka 20 katika Soka la Tanzania. Katika mahojiano yake na Azam tv alisema aliamua kukaa pembeni Baada ya Kelele za mashabiki kutaka atundike dalugha huku akiwa na umri usiozidi miaka 34.

Mashabiki wa Soka mjitafakari
 
Watanzania Wana wivu na chuki sio poa ukiwasikiliza lazima upotee
Hapo kwa Bocco ni ajabu sana alipigiwa kelele hata akiwa nje anapigiwa kelele sawa na Shomari kapombe
Hapa hujaongelea makocha
 
Taaluma ya shabiki katika kumkubali mchezaji imeegemea zaidi kwenye nyakati ambazo timu inapata matokeo mazuri zaidi uwanjani.

Timu ikiboronga (mfululizo) shabiki yyt lazima atabweka . Raha ya shabiki ni kuona makwapa
 
Taaluma ya shabiki katika kumkubali mchezaji imeegemea zaidi kwenye nyakati ambazo timu inapata matokeo mazuri zaidi uwanjani.

Timu ikiboronga (mfululizo) shabiki yyt lazima atabweka . Raha ya shabiki ni kuona makwapa
😂😂😂
 
We jamaa wewe

Hivi unakumbuka mwishoni jinsi Bocco alivyokuwa anacheza? Jamaa alikuwa akipasiwa mpira akitaka kugeuka ni kama skania lenye tela anaanzia nusu ya uwanja hadi kwenye kibendera cha kona ndio anafanikiwa kugeuka alafu akifanikiwa kugeuka akitaka kupiga golini anaanguka
 
We jamaa wewe

Hivi unakumbuka mwishoni jinsi Bocco alivyokuwa anacheza? Jamaa alikuwa akipasiwa mpira akitaka kugeuka ni kama skania lenye tela anaanzia nusu ya uwanja hadi kwenye kibendera cha kona ndio anafanikiwa kugeuka alafu akifanikiwa kugeuka akitaka kupiga golini anaanguka
tumempata mmoja wa wafukuza wachezaji wetu.

mkuu ingia wewe uwanjani ukalikate kabumbu
 
Nikweli usiopingika kuwa Soka la tanzania limetawaliwa na mashabiki wanaoendeshwa na mihemko, hii hapa Orodha ya wachezaji wazuri waliokimbia Clabu zao na kutundika Daluga au kuhamia vilabu vingine

1. David Molinga , Yanga, huyu alikuwa mchezaji nzuri aliyeweza kufungua zaidi ya goli 7 kwa msimu baada ya Kelele za mashabiki akaamua kusepa zake

2. Joash Onyango Simba, Alikuwa beki kwelikweli, muunganiko wake nzuri ndani ya Simba uliipa Simba mafanikio, tangu Kuondoka kweke ukuta wa Simba una matatizo makubwa

3. John Raphael Bocco, Simba, mfungaji Bora wa Muda wote katika Soka la Tanzania, na forward mwenye uwezo wakufunga Goli 10 kwa msimu, aliamua kujiondoa kwenye kikosi Cha Simba baada ya Kelele za mashabiki walioenda mbali zaidi na kumuita mchawi,, Baada ya Kuondoka Simba, Safu ya ushambuliaji Simba imekuwa butu na kuwanyima Simba ubingwa. Kama bocco angekuwepo asingekosa Goli 9 katika Msimu ambazo huenda zingeipa Simba ubingwa, licha ya kufungua Bocco nikiongozi nzuri uwanjani.

4. Laudit Mavugo, Simba, Haieleweki aliondokaje Simba lakini katika Msimu aliocheza Simba alifunga Goli 7 kitu ambacho hakijafanywa na mfungaji yeyote wa Simba kwa siku za karibuni

5. Juma kaseja' Juma Golikipa wa zamani wa Simba Yanga, kagera na mbeya city, pengine mchezaji maarufu zaidi katika Karne ya 21 na mchezaji aliyecheza zaidi ya miaka 20 katika Soka la Tanzania. Katika mahojiano yake na Azam tv alisema aliamua kukaa pembeni Baada ya Kelele za mashabiki kutaka atundike dalugha huku akiwa na umri usiozidi miaka 34.

Mashabiki wa Soka mjitafakari
Tatizo wa TZ wana wivu... Sasa hebu niambie unamlazimisha mcheza halafu kipa kama kaseja astahafu akiwa na miaka 34 wakati makipa wanakaaga hadi miaka 45.... Na kaseja bado ana viwango vyake.... Lakini mijitu inalazimisha aache... Sasa si uchawi huo? Inaona anavyo lipwa mshahara mkubwa anafaidi.....
 
Watanzania Wana wivu na chuki sio poa ukiwasikiliza lazima upotee
Hapo kwa Bocco ni ajabu sana alipigiwa kelele hata akiwa nje anapigiwa kelele sawa na Shomari kapombe
Hapa hujaongelea makocha
Uwezo wao umefika mwisho, tuige kwa wenzetu wakiona uwezo umefika kikomo uhamia timu zisizo na presha na kulinda heshima zao kwa club
 
Hivi kati ya hao uliotaja kuna mtu kapigiwa kelele kama Harry Maguire?

Sometimes nao wanakuwa wamechoka tu na hawana njaa ya mafanikio
 
tumempata mmoja wa wafukuza wachezaji wetu.

mkuu ingia wewe uwanjani ukalikate kabumbu
Hamna bloo

Mimi nimesema Hali ya straika wetu tu Bocco

Asa mi niingie nicheze na matege haya na huu mkitambi plus ufupi huu jamani
 
Mashabiki uchwara
Unaona mchezaji anachemka kila mechi,mbona shabalala akifanya mistake mashabiki hawamzomei, Juma Kennedy mara ngapi hafikishi pasi na inachukuliwa na mpinzani na goli kufungwa?mashabiki wana haki ya kushabikia,acha uzalendo uchwara
 
Unaona mchezaji anachemka kila mechi,mbona shabalala akifanya mistake mashabiki hawamzomei, Juma Kennedy mara ngapi hafikishi pasi na inachukuliwa na mpinzani na goli kufungwa?mashabiki wana haki ya kushabikia,acha uzalendo uchwara
Fala nin
 
Back
Top Bottom