Wachezaji Waliopata Kuharibikiwa Wakiwa Simba SC

Wachezaji Waliopata Kuharibikiwa Wakiwa Simba SC

Labda mngesema CEO wa Simba ameharibu kiwango cha Mkude. Ningejaribu kuwaelewa
 
Jamaly simba mnyate

Adam juma ( alitokea prison)

Mwambeleko

Shomari ( alitokea mtibwa)
Kameta duchu

Moses othiambo ( huyu aliflop vibaya mno)

Mo Ibrahim ( hakuna mchezaji kabisa)

Patrick kiongera ( hapa walipigwa)

Junior lukosa ( huyu ni hamna kitu)

Kuna beki mzimbabwe huyo alikimbia kabisa

Papa ndew ( msenegal tall huyu alikuja na viatu vilivyochoka hatari)

Peter mwalyanzi

Salim mbonde

Vincent agban ( kipa pazia)
 
Kuna sehemu Yanga imejisahau. Kuonyesha nia hewa ya kuwataka wachezaji fulani fulani uli kama kawaida Simba iipiku na kuwasajili!
 
Kwahiyo mnaona wameharibikiwa au wamejiunga na timu yenye wachezaji wenye viwango bora zaidi yao?.

ukweli ni kwamba mchezaji anaekaa benchi Simba akienda Yanga anaingia kikosi cha kwanza.
Na Yanga inajipigia Simba vile itakavyo. Sijui kama umefikiria ullichokiandika, kwa maana hiyo Simba hufanya makosa kusajili wachezaji wasio na uwezo??

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Uzi wa yanga kufarijiana,hivi mtoa post ni lini na wapi ajibu na nionzima wamecheza pamoja
 
Wewe mbona hatusemi ulivyoharibiwa na
Guaje
GuDume
Chizi Maarifa
General Garadudu
Bitoz

Habari wana jamvi.

Kuna orodha ya baadhi ya wachezaji ambao wanatarijiwa kuacha a Simba SC. Miongoni mwa wachezaji hao ni wale ambao waliokuwa wakifanya vyema katika timu zao za hapo awali.

Simba SC imeetendeleza Tamaduni yake ya kuharibu Vipaji vya Vijana wa Kitazania, haswa kwa kuwahadaa kwa pesa pasi na kuzingatia future yao. Leo tupate nafasi ya kuwajua baadha ya wachezaji waliokuwa Moto wakiwa Yanga SC na baada ya kuhamia upade wa pili wakaharibikiwa mazima.

1. Haruna Niyonzima
Huyu mwamba alikuwa akitengeneza pacha nzuri sana na Ajibu ezi zile Makambovic anakiwasha. Mikia FC ikaonamuda muafaka umefika wa kumuharibu kijana huyu wa kiyarwanda, wakamchukua na mwisho wa siku wakafanikiwa kumuharibu hata kwenye timu yao ikafika wakati akawa hawezi kupata nafasi. Kwa bahati nzuri Yanga wakaamua kumrudisha huyu kijana ili wamuweke sawa, ikashindikaa kwa kuwa Uchawi ulikuwa umeshaota mizizi kweye kipaji cha kijana huyu wa Gisenyi kule Rwanda.

2. Gadiel Miachael
Kijana hakuwa wamoto kivile alivyokuwa Azam FC, Yaga wakaona potential yake wakaamua kumvuta. Ndani ya Msimu mmoja wa VPL dogo kaanza ku-click hadi akawa anatupia magoli. Timu ya Taifa bandika bandua ni yeye ktk ile nafasi. Simba SC wkaona ni tishio kwa kijana wao aitwaye Siphiwe. Wakakaa kikao wakaona njia pekee ni kumharibu. Kijaa bila kujua hili wala lile akaamua kujiunga nao 2019. Matokeo yake ktk muda wake wote Gadiel akiwa kwa Mikia FC amefanikiwa kucheza mechi 4 tu kati ya mechi 68 za misimu miwili ya Ligi Kuu.

3. Beo Kakolaya
Hakuna mwenye chembe ya shaka kuhusu uwezo wa Beno alipokuwa chini ya Zahera. Alikiwasha na saves za hatari hata akawa Kipa wa Kuaminika katika Yanga SC. Walimu wa Taifa Stars waliweza kuiona potential yake hadi akaitwa kama kipa namba 2 nyuma ya Manula pale Taifa Stars. Licha ya kuwa kulikuwapo na mgogoro wa kimaslahi baina yake yeye na Klabu ya Yanga SC, haikuhalalisha kitendo cha Simba kuchukua mwanya huo wa mapungufu ya kipesa ii kulenga kuharibu kipaji cha aina hii.

Beno aliondoka akiwa kwenye Ubora wake, baada ya muda mfupi akiwa pale Simba SC walifanikiwa kutimiza mpango wao na sasa wana mpango wa kumuacha Beno ili wamchukue Jeremiah Kisubi.

4. Ibrahim Ame
Mnaikumbuka ile partnership ya Coast Unio kati ya Ame & Mwamnyeto? Ndio , ni ile partneship ambao wachambuzi wengi wa soka la bongo walisema kuwa ni partnership ya backline ya Taifa Stars hapo baadaye. Basi bwana, Wale jamaa wakaona hapa ndio mahala pa kupaharibu tena, wakaweka mpango wa kuwavuta wote wawili. Kwa bahati nzuri Yanga SC wakajitokeza kuokoa kipaji kimojawapo,yaani Bakari Mwamnyeto.

Ame kwa sasa yuko katika mpango wa kuachiwa kwa mkopo kwa kuwa tangu ajiunge Simba hakuwahi kucheza mechi zaidi ya 2 ambazo amemaliza dakika 90.

5. Naona nachoka tu kuendelea kuandika hebu ongezea hapo chini jina la mchezaji ambaye alienda simba akiwa mota lakini aliachwa akiwa hatamaniki na yeyote yule.
 
Mo Ibrahim .....
So sad
David Kaseke na Peter Mwalyanzi waliondoka Mbeya city siku moja! Kaseke akajiunga Yanga na Mwalyanzi akajiunga Simba! Leo hii Mwalyanzi alishasahau kama aliwahi kucheza simba huku Kaseke anaendelea kukipiga katika kiwango cha juu Yanga!

Kuna mtu anaitwa Salimu Mbonde alikuwa fundi kwelikweli (simba walishampoteza) bila kusahau kipaji cha ajabu kilichopotezwa na simba Mo Ibrahimu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Tangu mshinde mnaandika pumba sana. Hakuna klabu isiyokuwa na wachezaji walioflop. Msimu uliopita utopolo ilisajili wachezaji zaidi ya 20 halafu ikaja kuwatema dirisha dogo zaidi ya 15. Kwa hapa bongo utopolo ndio inaongoza kukwamisha ndoto za wachezaji na shahidi ni Ngasa na Tegete.
Hivi Jerry Tegete yuko wapi sikuizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo mnaona wameharibikiwa au wamejiunga na timu yenye wachezaji wenye viwango bora zaidi yao?.

ukweli ni kwamba mchezaji anaekaa benchi Simba akienda Yanga anaingia kikosi cha kwanza.
Ila nao Simba wanatia aibu, wana wachezaji wenye viwango Bora sana lakini wakikutana kwenye vpl na Yanga yoyote hata iwe mbovu kupindukia wanapigwa au kutoa sare. Yaani ndani ya miaka 2 ya kikosi Bora cha Simba, Simba amepigwa Mara 2 na kutoka sare mara 2. Hili inabidi benchi la ufundi na uongozi wa Simba walifanyie kazi kwa kweli.
 
Back
Top Bottom