Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Mshindi wa tuzo ya Ballon d'Or kwa mwaka 2021, Lionel Messi hajatajwa kwenye orodha ya Wachezaji 30 wanaowania tuzo hiyo kwa mwaka huu
Tangu mwaka 2005, Messi amekuwa akitajwa kwenye orodha ya Wachezaji 30 wanaowania tuzo hiyo, akiwa ameshinda tuzo hiyo mara saba katika kipindi hicho
Mpinzani wa Messi wa muda mrefu, Cristiano Ronaldo ametajwa kwenye orodha hiyo huku mchezaji Neymar akikosekana katika orodha hiyo iliyoshtua wengi
Wanaowania Tuzo hiyo ni;
Thibaut Courtois (Real Madrid)
Rafael Leao (AC Milan)
Christopher Nkunku (RB Leipzig)
Mohamed Salah (Liverpool)
Joshua Kimmich (Bayern Munich)
Trent Alexander-Arnold (Liverpool)
Vinicius Jnr (Real Madrid)
Bernardo Silva (Manchester City)
Luis Diaz (Liverpool)
Robert Lewandowski (Barcelona)
Riyad Mahrez (Manchester City)
Cristiano Ronaldo (Manchester United)
Antonio Rudiger (Real Madrid)
Kevin De Bruyne (Manchester City)
Luka Modric (Real Madrid)
Erling Haaland (Manchester City)
Dusan Vlahovic (Juventus)
Joao Cancelo (Manchester City)
Kylian Mbappe (PSG)
Virgil van Dijk (Liverpool)
Casemiro (Real Madrid)
Son Heung-min (Tottenham)
Fabinho (Liverpool)
Karim Benzema (Real Madrid)
Mike Maignan (AC Milan)
Harry Kane (Tottenham)
Darwin Nunez (Liverpool)
Phil Foden (Manchester City)
Sadio Mane (Bayern Munich) (edited)
Sebastian Haller (Borussia Dortmund)
Tangu mwaka 2005, Messi amekuwa akitajwa kwenye orodha ya Wachezaji 30 wanaowania tuzo hiyo, akiwa ameshinda tuzo hiyo mara saba katika kipindi hicho
Mpinzani wa Messi wa muda mrefu, Cristiano Ronaldo ametajwa kwenye orodha hiyo huku mchezaji Neymar akikosekana katika orodha hiyo iliyoshtua wengi
Wanaowania Tuzo hiyo ni;
Thibaut Courtois (Real Madrid)
Rafael Leao (AC Milan)
Christopher Nkunku (RB Leipzig)
Mohamed Salah (Liverpool)
Joshua Kimmich (Bayern Munich)
Trent Alexander-Arnold (Liverpool)
Vinicius Jnr (Real Madrid)
Bernardo Silva (Manchester City)
Luis Diaz (Liverpool)
Robert Lewandowski (Barcelona)
Riyad Mahrez (Manchester City)
Cristiano Ronaldo (Manchester United)
Antonio Rudiger (Real Madrid)
Kevin De Bruyne (Manchester City)
Luka Modric (Real Madrid)
Erling Haaland (Manchester City)
Dusan Vlahovic (Juventus)
Joao Cancelo (Manchester City)
Kylian Mbappe (PSG)
Virgil van Dijk (Liverpool)
Casemiro (Real Madrid)
Son Heung-min (Tottenham)
Fabinho (Liverpool)
Karim Benzema (Real Madrid)
Mike Maignan (AC Milan)
Harry Kane (Tottenham)
Darwin Nunez (Liverpool)
Phil Foden (Manchester City)
Sadio Mane (Bayern Munich) (edited)
Sebastian Haller (Borussia Dortmund)