Wachezaji wanaowania Ballon d’Or 2022 hawa hapa. Messi, Neymar wakosekana, Ronaldo ndani

Wachezaji wanaowania Ballon d’Or 2022 hawa hapa. Messi, Neymar wakosekana, Ronaldo ndani

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Mshindi wa tuzo ya Ballon d'Or kwa mwaka 2021, Lionel Messi hajatajwa kwenye orodha ya Wachezaji 30 wanaowania tuzo hiyo kwa mwaka huu

Tangu mwaka 2005, Messi amekuwa akitajwa kwenye orodha ya Wachezaji 30 wanaowania tuzo hiyo, akiwa ameshinda tuzo hiyo mara saba katika kipindi hicho

Mpinzani wa Messi wa muda mrefu, Cristiano Ronaldo ametajwa kwenye orodha hiyo huku mchezaji Neymar akikosekana katika orodha hiyo iliyoshtua wengi

Wanaowania Tuzo hiyo ni;

Thibaut Courtois (Real Madrid)

Rafael Leao (AC Milan)

Christopher Nkunku (RB Leipzig)

Mohamed Salah (Liverpool)

Joshua Kimmich (Bayern Munich)

Trent Alexander-Arnold (Liverpool)

Vinicius Jnr (Real Madrid)

Bernardo Silva (Manchester City)

Luis Diaz (Liverpool)

Robert Lewandowski (Barcelona)

Riyad Mahrez (Manchester City)

Cristiano Ronaldo (Manchester United)

Antonio Rudiger (Real Madrid)

Kevin De Bruyne (Manchester City)

Luka Modric (Real Madrid)

Erling Haaland (Manchester City)

Dusan Vlahovic (Juventus)

Joao Cancelo (Manchester City)

Kylian Mbappe (PSG)

Virgil van Dijk (Liverpool)

Casemiro (Real Madrid)

Son Heung-min (Tottenham)

Fabinho (Liverpool)

Karim Benzema (Real Madrid)

Mike Maignan (AC Milan)

Harry Kane (Tottenham)

Darwin Nunez (Liverpool)

Phil Foden (Manchester City)

Sadio Mane (Bayern Munich) (edited)

Sebastian Haller (Borussia Dortmund)
 
Karim Benzema
Kelvin De Bruyne
Robert Lewandowski

Hawa watatu, m1 wapo lazima achukue hii tuzo.

Sadio Mane, race yake inamtoa ktk kinyan'ganyiro, japo kwa mtazamo wangu, huyu ndo anae stahili kutwaa hiyo Tuzo kwa huu mwaka

Statistics na numbers zinambeba.
 
Karim Benzema
Kelvin De Bruyne
Robert Lewandowski

Hawa watatu, m1 wapo lazima achukue hii tuzo.

Sadio Mane, race yake inamtoa ktk kinyan'ganyiro, japo kwa mtazamo wangu, huyu ndo anae stahili kutwaa hiyo Tuzo kwa huu mwaka

Statistics na numbers zinambeba.
Saidio Mane amemzidi Benzema statistics zipi ?
 
Mshindi wa tuzo ya Ballon d'Or kwa mwaka 2021, Lionel Messi hajatajwa kwenye orodha ya Wachezaji 30 wanaowania tuzo hiyo kwa mwaka huu

Tangu mwaka 2005, Messi amekuwa akitajwa kwenye orodha ya Wachezaji 30 wanaowania tuzo hiyo, akiwa ameshinda tuzo hiyo mara saba katika kipindi hicho

Mpinzani wa Messi wa muda mrefu, Cristiano Ronaldo ametajwa kwenye orodha hiyo huku mchezaji Neymar akikosekana katika orodha hiyo iliyoshtua wengi

Wanaowania Tuzo hiyo ni;

Thibaut Courtois (Real Madrid)

Rafael Leao (AC Milan)

Christopher Nkunku (RB Leipzig)

Mohamed Salah (Liverpool)

Joshua Kimmich (Bayern Munich)

Trent Alexander-Arnold (Liverpool)

Vinicius Jnr (Real Madrid)

Bernardo Silva (Manchester City)

Luis Diaz (Liverpool)

Robert Lewandowski (Barcelona)

Riyad Mahrez (Manchester City)

Cristiano Ronaldo (Manchester United)

Antonio Rudiger (Real Madrid)

Kevin De Bruyne (Manchester City)

Luka Modric (Real Madrid)

Erling Haaland (Manchester City)

Dusan Vlahovic (Juventus)

Joao Cancelo (Manchester City)

Kylian Mbappe (PSG)

Virgil van Dijk (Liverpool)

Casemiro (Real Madrid)

Son Heung-min (Tottenham)

Fabinho (Liverpool)

Karim Benzema (Real Madrid)

Mike Maignan (AC Milan)

Harry Kane (Tottenham)

Darwin Nunez (Liverpool)

Phil Foden (Manchester City)

Sadio Mane (Bayern Munich) (edited)

Sebastian Haller (Borussia Dortmund)
Christopher Nkuku jembe langu hilo ila Mbape atachungulia sijui kama yumo sijamaliza uzi
 
List ya mchongo bila Messi hasa ukizingatia baadhi ya wachezaji wa kawaida waliowekwa. Hata hivyo top 3 yangu ni hii.

1. Benzema
2. Mane
3. Lewandowski
 
KARIM BENZEMA KB9 FOR BALLON D'OR

Ronaldo naona wamemuweka kimkakati/kimchongo tu, kwa mimi ninavyoona hakustahili kuwepo kama ilivyo kwa LM 10, Numbers zake hazidanganyi Kabisa bora hata RL9 angalau


Ninachohofia wasije tu wakampiga kikumbo kama Lewandowski kipindi kile wakamtafutia tuzo ya mshambuliaji bora kumpooza... Na CR7 akiingia top 3 usishangae akapindua Meza...

personally, KB9 apewe tuzo yake... Top scorer Magoli 40+ kwa msimu, LA LIGA, SPANISH CUP, CHAMPIONS LEAGUE & UEFA SUPER CUP

What a Performance!
 
Apewe Benzema kwa kazi kubwa aliyofanya katika timu yake hadi kutwaa UCL.
 
Lewandowski au Mbape

Mmojawapo anabeba.

Lewandowski alikwenda Fc Barcelona ili iwe rahisi kupata tuzo
 
Back
Top Bottom