Wachezaji wanaoweza kupata namba Azam kutoka Simba na Yanga

Wapuuzi kweli, kule kimataifa nako kuna bahasha? Mlipopigwa 3-0. Uwekezaji mkubwa mipango endelevu hakuna. Tafuteni watu wenye weledi kwenye tasnia ya soka mtafika mbali
Tulivyo rudi nyumbani tukapigwa ngapi?

Bro Azam tulipofikia tukicheza na Bayern atashinda kwakwe kwetu tutashinda
 
Tulivyo rudi nyumbani tukapigwa ngapi?

Bro Azam tulipofikia tukicheza na Bayern atashinda kwakwe kwetu tutashinda
Aggregate ikawa ngapi?
 
Mpira unamatokeo matatu yote uyakubali jana ilikua sio siku yetu na sio mwisho wa safari ya kuusaka ubingwa
 
Subiri mzunguuko wa pili uje uandike tena.
 
Shuti la mpira uliotoka?

Mara mpewe penalties za kijinga

Ndo maana waarabu waliwa fir*
Mlipofungwa na Prisons na KMC FC ni nani sababu refa au mpira ilikuwa umetoka?
 
Inonga Bacca Varane na Aucho pia wanapata namba
 
Inonga Bacca Varane na Aucho pia wanapata namba
Aucho acheze number ya nani isah ndala ambae hakupoteza pass jana?

Bro unatania

Au Akaminko alivyokiwasha jana

Mguna alicheza tu sababu bajana yuko fungate ila aucho hapana hawezi
 
Aucho acheze number ya nani isah ndala ambae hakupoteza pass jana?

Bro unatania

Au Akaminko alivyokiwasha jana

Mguna alicheza tu sababu bajana yuko fungate ila aucho hapana hawezi

Kwaiyo bro wee mechi ya jana ndo umepagawa uyo ndala alitepeta kwa Emanuel Mvyekure wa KmC[emoji23][emoji2] jana angekuwepo Mdhamiru na Kanoute ucngemsifia kias hcho

Hata ivo timu inapangwa kulingana na mahitaji ya mechi hkn beki wa Azam wa kumuweka bench Inonga Varane wala midfielder wa kumuweka Aucho akiwa fiti
 
Azam ni wadogo tu pale anaweza namba wakitokea sub ni akaminko na dube
Yule kipa wenu hawezi kumweka benchi diara
Juma shaban unajua uwezo wake
Hapo kati unajua mafundi
Mbele kuna mayele huwezi kimlinganisha na mbombo
 
Hawaeleweki ila hawafungwi na team zisizo na viwanja
Kama kushinda mi naona wamemfunga simba jana vinginevyo huwa siwaelewagi nadhani wana tatizo ambalo mi nawewe hatulijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…