FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
- Thread starter
- #21
Tulivyo rudi nyumbani tukapigwa ngapi?Wapuuzi kweli, kule kimataifa nako kuna bahasha? Mlipopigwa 3-0. Uwekezaji mkubwa mipango endelevu hakuna. Tafuteni watu wenye weledi kwenye tasnia ya soka mtafika mbali
Bro Azam tulipofikia tukicheza na Bayern atashinda kwakwe kwetu tutashinda