ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Ukotoa maambukizi ya Covid 19 nitajie mechi gani hapa duniani iliasha wahi ahilishwa kwamba wachezaji wanaumwa?Kwahiyo unataka Simba wacheze kama hao mademu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukotoa maambukizi ya Covid 19 nitajie mechi gani hapa duniani iliasha wahi ahilishwa kwamba wachezaji wanaumwa?Kwahiyo unataka Simba wacheze kama hao mademu?
TFF inachezewa kama mwanasesere. Hivi kila timu ikijiajiamulia tu kukacha mechi Na kusingizia kuwa wachezaji wake wengi wanaharisha TFF itakataa ombi lao? Sio serikali wala TFF waliotoa rasmi muongozo kuhusu haya mafua, kama mwalimu mkuu ataifunga shule kuepusha kuenea kwa mafua atafukuzwa kazi. TFF ilijiridhijaje kuhusu afya ya wachezaji wa simba? Waliwaona wachezaji kujiridhisha kuhusu afya zao? Kanuni IPI walitumia kuahirisha mechi kwa ugonjwa wa mafua? Kwani fursa na taarifa haikutolewa kwa timu zote zitakazokuwa Na mchezaji mwenye mafua haya waahirishiwe mechi yao?Ukotoa maambukizi ya Covid 19 nitajie mechi gani hapa duniani iliasha wahi ahilishwa kwamba wachezaji wanaumwa?
Ile mechi simba alkua anaenda kufa. Alipoona hali mbaya akatafuta kichaka cha kujificha. All in all atakufa tu.Wanavuta muda tu wakisubiri dirisha dogo wapate wachezaji wenye ubora, in janja yao tu
Duhhh we jamaa bana, kwahiyo akili yako inakutuma kuwa Simba alikuwa anaikimbia hii Kagera sugar ya msimu huu? Hivi unatumia akili zako sawa sawa kweli?Wanavuta muda tu wakisubiri dirisha dogo wapate wachezaji wenye ubora, in janja yao tu
Wallah kakimbia, Mechi zote simba anastrugle kupata matokeo hata na vitimu, C/o geita goldDuhhh we jamaa bana, kwahiyo akili yako inakutuma kuwa Simba alikuwa anaikimbia hii Kagera sugar ya msimu huu? Hivi unatumia akili zako sawa sawa kweli?
Kwahiyo akikimbia ndio itakuwa suluhisho la yeye ku struggle kupata matokeo?Wallah kakimbia, Mechi zote simba anastrugle kupata matokeo hata na vitimu, C/o geita gold
Bodi ya ligi haikuwa Na ushahidi wakutosha kufanya maamuzi ya kuahirisha mechi. Saimba ndiyo yenyewe inasema wachezaji wetu 20 wanaumwa wote, tff hawana majibu ya vipimo vya wachezaji wanaoumwa. Hii inatoa mianya kwa timu kuzogeza mechi zao kwa sababu zao nyingine.Duhhh we jamaa bana, kwahiyo akili yako inakutuma kuwa Simba alikuwa anaikimbia hii Kagera sugar ya msimu huu? Hivi unatumia akili zako sawa sawa kweli?
Kusogeza mechi kunaweza kusaidia wachezaji muhimu kupata fitness kama walikuwa wasicheze kwasababu ya ugonjwa/majeruhi, wachezaji kupata muda zaidi wa kupinzika kabla ya mechi na timu kupata wachezaji wapya baada ya usajili wa dirisha dogo.Kwahiyo akikimbia ndio itakuwa suluhisho la yeye ku struggle kupata matokeo?
Hapana ukitaka kufananisha na wenzetu utakuwa umekosea mfano EPL unatakiwa uwe na wachezaji 14 fit pamoja na under 23 squad hizo ni kanuni zao kwa huku sijui kanuni zikoje, ndio maana baadhi ya team zinakataliwa kubadilisha ratibaKatika wachezaji 28 ikatokea hata wachezaji 10 wanaumwa tena kwa mpigo hali hii si ya kawaida hata kama ndio kuna wengine 18 hawaumwi na ndio maana hata kuko kwa wenzetu walikoendelea leo hii kuna game imeahirishwa vile vile,,, ila hapa nongwa zimeanza kwa msukule eti kagera sugar hawajahongwa ndio maana simba kaogopa kuingiza timu
Nani kakudanganya hivyo we kolo?!Hivi kwanini timu ikitoa wachezaji zaidi ya watatu kwenye timu ya taifa mechi zao zinasimamishwb? Utopolo mnatia aibu
Kanidanganya mama yako wakati nakutafutia mdogo wakoNani kakudanganya hivyo we kolo?!
Mbona mama yako niko naye hapa ananinyonya konga anasema wachezaji watatu wakiitwa timu ya taifa club yake itaendelea kucheza, ametolea mfano Liverpool akina Nabi keita, Sadio Mane na Mohamed salah wakija AfCon Liverpool wataendelea kucheza mechi zao, au mama yako ananidanganya?! Ila ninachomsifu ananyonyo ubo vizuri[emoji38][emoji38]Kanidanganya mama yako wakati nakutafutia mdogo wako
timu ikishakuwa na wachezaji wenye tabia za kina kabwili inawaathili hadi mashabiki ndio maana kuna kina mama j na wengine tuko nao hapaHao ndo simba, wanahamaki kama walibembendwa utotoni
kina kabwili na mama j wamekuharibu ndio maana tunatafuta mtoto mwingine wa kiumeMbona mama yako niko naye hapa ananinyonya konga anasema wachezaji watatu wakiitwa timu ya taifa club yake itaendelea kucheza, ametolea mfano Liverpool akina Nabi keita, Sadio Mane na Mohamed salah wakija AfCon Liverpool wataendelea kucheza mechi zao, au mama yako ananidanganya?! Ila ninachomsifu ananyonyo ubo vizuri[emoji38][emoji38]
Double standardmtibwa waliomba mechi yao na kmc ihairishwe for the same reason kama ya simba, lakini tff kupitia bodi ya ligi ikakataa…….!
tukiwaambia kasongo hafai kuwa ceo wa bodi ya ligi wanatuona wajingaDouble standardView attachment 2052741