Wachezaji watatu wabovu wa Simba wako ligi ya tatu kwa ubora Africa

Wachezaji watatu wabovu wa Simba wako ligi ya tatu kwa ubora Africa

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Nikiangalia taarifa za usajili wa timu mbalimbali naona wachezaji watatu wa Simba wa msimu uliopita wamesajiliwa ligi ya Algeria, ligi ya 3 kwa ubora Africa, wawili kati yao katika timu yenye mafanikio zaidi nchini humo na mmoja kwa Mabingwa wa CAFCC 2022-23.

Mwingine mmoja kauzwa Morocco, ligi ya pili kwa ubora, kwa timu iliyomaliza nafasi ya pili na ni mchezaji tegemeo wa timu yake ya taifa iliyoshika nafasi ya 4 AFCON.

Wengine wawili wameenda kwa watani wa jadi (timu iliyofika robo fainali CAFCL) na wamekenua meno kweli kweli kuwapata hao.

Mwingine kama ataachwa dirisha dogo naye anaweza kuuzwa Morocco, ligi ya pili kwa ubora, katika moja ya vilabu vitatu vikubwa zaidi nchini humo.

Kikosi kibovu how, which? Anyway, tumebonyeza kitufe cha kuanza upya kutumia vijana wa moto wenye njaa ya mafanikio na uzuri wake bado GSM hajapata namba zao.
 
Nikiangalia taarifa za usajili wa timu mbalimbali naona wachezaji watatu wa Simba wa msimu uliopita wamesajiliwa ligi ya Algeria, ligi ya 3 kwa ubora Africa, wawili kati yao katika timu yenye mafanikio zaidi nchini humo na mmoja kwa Mabingwa wa CAFCC 2022-23.

Mwingine mmoja kauzwa Morocco, ligi ya pili kwa ubora, kwa timu iliyomaliza nafasi ya pili na ni mchezaji tegemeo wa timu yake ya taifa iliyoshika nafasi ya 4 AFCON.

Wengine wawili wameenda kwa watani wa jadi (timu iliyofika robo fainali CAFCL) na wamekenua meno kweli kweli kuwapata hao.

Mwingine kama ataachwa dirisha dogo naye anaweza kuuzwa Morocco, ligi ya pili kwa ubora, katika moja ya vilabu vitatu vikubwa zaidi nchini humo.

Kikosi kibovu how, which? Anyway, tumebonyeza kitufe cha kuanza upya kutumia vijana wa moto wenye njaa ya mafanikio na uzuri wake bado GSM hajapata namba zao.
Bila shaka ni miongoni mwa wale waliokuwepo kipindi Manzoki anatangazwa kwenye mkutano mkuu
 
kikosi cha Last 2 seasons kilikuwa bora sana.

experience kila position. ni minor improvements tu.

sema simba leadership ndo issue. uswahili mwingi. wachezaji wazuri ndo mnawaacha wabovu ndo mna baki nao.

this season amna timu kabisa, amna mchezaji zaidi ya hussein na malone basi wengine takataka.

worse team nzima ikienda yanga au azam Inakaa benchi

cafcc preliminary round tu, kazi kuvuka. huko mbele ni maombi tu. labda team ibadilike.
 
Mchezaji kuuzwa ina Maana ana ubora na anaenda juu zaidi ya hapo alipo

Huwezi kuuza mchezaji kwenda team ya chini. Haipo hivyo
 
Nikiangalia taarifa za usajili wa timu mbalimbali naona wachezaji watatu wa Simba wa msimu uliopita wamesajiliwa ligi ya Algeria, ligi ya 3 kwa ubora Africa, wawili kati yao katika timu yenye mafanikio zaidi nchini humo na mmoja kwa Mabingwa wa CAFCC 2022-23.

Mwingine mmoja kauzwa Morocco, ligi ya pili kwa ubora, kwa timu iliyomaliza nafasi ya pili na ni mchezaji tegemeo wa timu yake ya taifa iliyoshika nafasi ya 4 AFCON.

Wengine wawili wameenda kwa watani wa jadi (timu iliyofika robo fainali CAFCL) na wamekenua meno kweli kweli kuwapata hao.

Mwingine kama ataachwa dirisha dogo naye anaweza kuuzwa Morocco, ligi ya pili kwa ubora, katika moja ya vilabu vitatu vikubwa zaidi nchini humo.

Kikosi kibovu how, which? Anyway, tumebonyeza kitufe cha kuanza upya kutumia vijana wa moto wenye njaa ya mafanikio na uzuri wake bado GSM hajapata namba zao.
Kwa akili hizi mtegemee mafanikio Simba? Hivi mashabiki waliokuwa Simba 2018 wamekufa wote?
 
Back
Top Bottom