CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Kuna beki yao ya kulia fundi sanaaa anajua alafu anajua tena, jamaa anakupa kila kitu unachohitaj kutoka kwa beki wa pembeni
hawajakutana na max,pacome,ki na yao hao...Najua wengi Jana tuliuangalia mpira wa Mamelody vs Al AHLY lakini ni wachache tulioangali Kwa jicho la tatu na kung'amua vipaji haswa katika kikosi kile.
1. Kuna beki mmoja wa kati kitasa haswa sura ya mama anaitwa GRANT KEKANA
Uyu bwana mdogo matumizi ya akili ni makubwa mno sawa na umchukue BACCA +INNONGA ndiyo unampata.
2. Kuna Jamaa niliezoea kumuona akicheza kama beki wa kati Jana alikuwa kiungo kutokana na kutokuwepo Kwa MOKOENA jamaa alifit na aliupiga mwingi Sana anaitwa AUBREIN MODIBA appreciation post yake hii ni anaajua kuamua mpira uchezwe Kwa speed gani Kwa sasa.
3. ALLIENDE kijana tutoka chille uyu Sina comment [emoji119]
HAO NDIYO NILIO WAONA NI ROHO YA TEAM KWA JANA.
Diara unataka kudanganya anamzidi Williams?Tukimuuza Diarra kwenda ulaya (zipo tetesi Manchester United, na Inter milan zinahitaji huduma yake) msimu ujao, pesa tutakazo zipata, tukilete hicho chuma pale Jangwani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu nitokee huko unajitafutia ahueni kupitia kwetu??Nilikua namaanisha yule huwa anawafanyaga kitu mbaya, jana katolewa kwenye michuano.
Au niongee kimakua ndio utanielewa?
Yani kwa mbindeeeeee π π[emoji23][emoji23]yaani mpaka mwaka umeisha ndio unasema Leo!
Wasouth sio wabaguziIla mkumbuke waarabu na wasouth Africa hamna afadhali wote wabaguzi....
Angalizo tuu
Si nimesikia hawawataki weusi wenzaoWasouth sio wabaguzi
Yule ni percy Tau sio mwarabuJana nimeona mwarabu akivishwa kanzu aisee π noma sana
floppMudau ana tank la hewa kifuani