Wachezaji wenye Mabao mengi UCL dhidi ya timu za Uingereza.

Wachezaji wenye Mabao mengi UCL dhidi ya timu za Uingereza.

BlackPanther

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
9,185
Reaction score
8,715
AddTextToPhoto_22-2-2018-3-11-36.png

Kiboko ya timu za Uingereza katika UEFA
Champions League-King Messi/La Pulga.
 
huyu kiumbe angecheza Epl angekua anamaliza na magoli zaidi ya 35 kila msimu

Alafu anakuja mtu anakuambia hawezi kucheza uingereza wakati wakina Aguero,sanchez,fabregas and costa walikuwa watoto kwake LA LIGA lakini walipoenda EPL walionekana wababe...sembuse Master wao King Messi!!! Acha aitwe mfalme kuwahi kutokea, i know that wapo ambao povu litawatoka kuiona post hii.
 
Alafu anakuja mtu anakuambia hawezi kucheza uingereza wakati wakina Aguero,sanchez,fabregas and costa walikuwa watoto kwake LA LIGA lakini walipoenda EPL walionekana wababe...sembuse Master wao King Messi!!! Acha aitwe mfalme kuwahi kutokea, i know that wapo ambao povu litawatoka kuiona post hii.
IMG-20180221-WA0006.jpg
 
kwani kucheza mechi moja ndio kashacheza ligi ya uingereza.ronaldo
 
Katika Hayo 18 usijeshangaa Kuwa 15 kati yao Kazifunga Arsenal na Man City tu!!!
Kwahiyo Huyu Ni Kiboko Wa Arsenal Na Man City ambazo Kila Mechi anapokutana nao lazima Awatie Magoli.

Nnavyojuwa 😀😀😀😀
Messi na Arsnl 9
Messi na City 6
Messi na Man U 2
Messi na Chelsea 1

Nusu yake yameenda Arsenal 😀😀
 
Alafu anakuja mtu anakuambia hawezi kucheza uingereza wakati wakina Aguero,sanchez,fabregas and costa walikuwa watoto kwake LA LIGA lakini walipoenda EPL walionekana wababe...sembuse Master wao King Messi!!! Acha aitwe mfalme kuwahi kutokea, i know that wapo ambao povu litawatoka kuiona post hii.
Epl kungekuwa na timu ambayo Messi ana hadhi ya kucheza angeenda ila kwa sasa duniani hakuna timu ambayo Messi anaweza akacheza zaidi ya Barca, ndo timu bora pekee ulimwenguni ikifuatiwa na Madrid.
 
Katika Hayo 18 usijeshangaa Kuwa 15 kati yao Kazifunga Arsenal na Man City tu!!!
Kwahiyo Huyu Ni Kiboko Wa Arsenal Na Man City ambazo Kila Mechi anapokutana nao lazima Awatie Magoli.
Ni timu gani Messi amekutana nazo zaid mara nyingi zaidi ya hizo ulizotaja?
 
Back
Top Bottom