Ushahidi..?Kanjibahi ni mkiritimba kinoma aisee! kumbe bhana aliwaforce key players wa Simba wamposti na kumpongeza kwa lengo la kuonekana kama ni mtu muhimu sana kwenye simba.
Jamaa aliwahadaa sana watu aliposema hakuna mkubwa kuliko simba, kumbe alimaanisha hakuna mkubwa kuliko yeye.
Jamaa atawatesa sana yaani. Na inavyo onekana ndio kwanza ana anza yaani, mpaka akimaliza watakuwa wamechoka sana.
za chini chini pia sinasemekana kuwa wachezaji hawana furaha kabisa, hali iliyopelekea hata Miquisone kurahisisha uamuzi wake wa kuondoka simba.
Mkuu umewahi kuiona video ya wakorea kaskazini wakimlilia rais wao alipofariki?Na hayo ni maneno ya mashabiki wa yanga mmetafuta mpasuko mmeupata mnataka mutanue mufukuze wawekezaji wa pesa mnataka muwekeze maneno akili ikishaharibiwa na umaskini roho mbaya ndiyo hutawala.
hapana labda nikikaa kwa kutulia niichekiiMkuu umewahi kuiona video ya wakorea kaskazini wakimlilia rais wao alipofariki?
Ni kwamba ilionekana vilio vile ni fake na ni vya uoga.hapana labda nikikaa kwa kutulia niichekii
Unaambiwa chama kam unfollow bosi baada ya kuletewa ule ujinga kwenye ile video insta...Sio kweli,mbona Chama hajampost na ni key player,badala yake Chama kampamba Haji.
ila haji manara ni mbwa koko aliyejeruhiwa kwa kukosa tonge la ugali hawezi kwenda bure ameshapandikiza chuki ambazo ukizibeba utabaki unamuona Mo dewji hatufai pale msimbazi ila nataka nikwambie mpira pesa brother. haji hawezi kumlipa hata mchezaji mmoja kwa mweziNi kwamba ilionekana vilio vile ni fake na ni vya uoga.
Sasa ukiangalia kwa siku moja kuna post za kina Kakolanya, Gadiel wakimsifu wakati nahodha wao msaidizi leo ni harusi yake na hawajamtakia ndoa njema, ujue kuna ufake fulani hivi au most likely its organized.
Siyo kawaida kwa siku moja wachezaji separately wafanye kitu kama hicho. Imepangwa, hawajaamka na kufikiri wenyewe.
Sawa mkuu.ila haji manara ni mbwa koko aliyejeruhiwa kwa kukosa tonge la ugali hawezi kwenda bure ameshapandikiza chuki ambazo ukizibeba utabaki unamuona Mo dewji hatufai pale msimbazi ila nataka nikwambie mpira pesa brother. haji hawezi kumlipa hata mchezaji mmoja kwa mwezi
mo anaweza akawa ni yeye au simu yake kashikiwa
yaan hapa kuna muelekeo wa simba kupoteza dira katka mchezoKanjibahi ni mkiritimba kinoma aisee! kumbe bhana aliwaforce key players wa Simba wamposti na kumpongeza kwa lengo la kuonekana kama ni mtu muhimu sana kwenye simba.
Jamaa aliwahadaa sana watu aliposema hakuna mkubwa kuliko simba, kumbe alimaanisha hakuna mkubwa kuliko yeye.
Jamaa atawatesa sana yaani. Na inavyo onekana ndio kwanza ana anza yaani, mpaka akimaliza watakuwa wamechoka sana.
za chini chini pia sinasemekana kuwa wachezaji hawana furaha kabisa, hali iliyopelekea hata Miquisone kurahisisha uamuzi wake wa kuondoka simba.
Chama hajampost dewj, manula, kapombe, nk acha fikra mgando bwana hata wachezaji wanaona kipi haki. Sasa kwa akili yako fupi manara hawezi kumlipa hata gadiel pale simba. Na inaonesha jinsi lisivyokuwa na maadili. Limeachwa liachike na linataka simba ifarakane hana nia njema hata kidogo. SnitchKanjibahi ni mkiritimba kinoma aisee! kumbe bhana aliwaforce key players wa Simba wamposti na kumpongeza kwa lengo la kuonekana kama ni mtu muhimu sana kwenye simba.
Jamaa aliwahadaa sana watu aliposema hakuna mkubwa kuliko simba, kumbe alimaanisha hakuna mkubwa kuliko yeye.
Jamaa atawatesa sana yaani. Na inavyo onekana ndio kwanza ana anza yaani, mpaka akimaliza watakuwa wamechoka sana.
za chini chini pia sinasemekana kuwa wachezaji hawana furaha kabisa, hali iliyopelekea hata Miquisone kurahisisha uamuzi wake wa kuondoka simba.
Hakika manara ni chato balaa yaani anataka anachoaamini yy na sisi tumuamini.. inshot manara hajitambui umeachwa tulia mbona waliondoka wachezaji hatujasikia wakiongea maneno ya kisoro kama haya..?ila haji manara ni mbwa koko aliyejeruhiwa kwa kukosa tonge la ugali hawezi kwenda bure ameshapandikiza chuki ambazo ukizibeba utabaki unamuona Mo dewji hatufai pale msimbazi ila nataka nikwambie mpira pesa brother. haji hawezi kumlipa hata mchezaji mmoja kwa mwezi
mo anaweza akawa ni yeye au simu yake kashikiwa
Korea Kaskazini ikitangazwa habari ya kifo cha Raisi ni lazima ulie, utake usitake.Mkuu umewahi kuiona video ya wakorea kaskazini wakimlilia rais wao alipofariki?
Hata Simba lazima umpaishe MO. Ni kama mungu.Korea Kaskazini ikitangazwa habari ya kifo cha Raisi ni lazima ulie, utake usitake.
Video zinarekodiwa,
ukionwa hukulia basi hukumu yake ni Kifo tu.
Njaa mbaya sana Umasikini ni mbaya sana unajitoa ufahamu kuchambua na kujadili hoja.Jitahidi kuchambua hoja za Manara achana na kumshambulia Manara yeye kama yeye tafakari na kujadili alichokisema kwa faida ya Simba leo,kesho na kesho kutwa ikiwezekana hata mileleChama hajampost dewj, manula, kapombe, nk acha fikra mgando bwana hata wachezaji wanaona kipi haki. Sasa kwa akili yako fupi manara hawezi kumlipa hata gadiel pale simba. Na inaonesha jinsi lisivyokuwa na maadili. Limeachwa liachike na linataka simba ifarakane hana nia njema hata kidogo. Snitch