Tetesi: Wachezaji Yanga wanadai malimbikizo ya posho

Tetesi: Wachezaji Yanga wanadai malimbikizo ya posho

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Kuna habari kutoka Yanga kwamba wachezaji wanadai pesa ndefu za posho.

Kuna posho mpaka za last season wachezaji wanadai.

Kuna bonus za last season wachezaji wanadai

Kuna wachezaji Kama Azzi K
hajalipwa signing fees yake ya mkataba mpya!!

GSM na engineer wapo kwenye siasa tu wanataka kuchukua Jimbo Dodoma

Kama wanabisha waje wakanushe timu inadai kalibia 2bilions signing, bonus na posho.
 
Kuna habari kutoka Yanga kwamba wachezaji wanadai pesa ndefu za posho.

Kuna posho mpaka za last season wachezaji wanadai.

Kuna bonus za last season wachezaji wanadai

Kuna wachezaji Kama Azziz k hajalipwa signing fees yake ya mkataba mpya!!

GSM na engineer wapo kwenye siasa tu wanataka kuchukua Jimbo Dodoma

Kama wanabisha waje wakanushe timu inadai kalibia 2bilions signing, bonus na posho.
Mmmmmmm sio kwelini matokeo uu ya mchezo.....ume take advantage....
 
Kuna habari kutoka Yanga kwamba wachezaji wanadai pesa ndefu za posho.

Kuna posho mpaka za last season wachezaji wanadai.

Kuna bonus za last season wachezaji wanadai

Kuna wachezaji Kama Azzi K
hajalipwa signing fees yake ya mkataba mpya!!

GSM na engineer wapo kwenye siasa tu wanataka kuchukua Jimbo Dodoma

Kama wanabisha waje wakanushe timu inadai kalibia 2bilions signing, bonus na posho.
Kwani kolo adaiwi?mbona timu nyingi tu zinadaiwa.Haina uhusiano na matokeo wanayopata Sasa yanga.
 
Ile game ya kwanza ilituvunja moyo sana
 
Koleza moto tuone nani ni kati ya kolo na vyura
 
Mtoto wa rage,kolo anadaiwa signing fee hajawa malizia baadhi ya wachezaji wake.
1000084103.jpg

Mkalipe madeni sasa mbwa wewe
 
Back
Top Bottom