Wachezeeni na Waibieni Watu wote wa Makabila mbalimbali nchini Tanzania, ila Kaeni mbali kabisa na Wazanaki

Katika makabila yote ya mkoa wa Mara waikizu ni hatari kwani mnaweza kugombana leo akajifanya yameisha baada ya miaka mitano anakuja kulipiza kisasi na ni kwa kila kiumbe anachokikuta kama unafuga paka au ng'ombe wote watacharazwa mapanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…