Wachimbaji visima vya maji kwa mashine: Tutakupa pampu, UPVC Pipes, utasafishiwa kisima na kupewa tenki

Wachimbaji visima vya maji kwa mashine: Tutakupa pampu, UPVC Pipes, utasafishiwa kisima na kupewa tenki

TAWA WATER PROFFESIONAL:

Tunachimba visima virefu na vifupi kwa kutumia mashine maalumu.
Ukichimba kisima na kampuni yetu tutakuwekea vitu vifuatavyo bure kabisa

1: Tutakuwekea Upvc pipes Imara bure kabisa

2: Gravel nazo tutakuwekea bure

3: Tutakupa na kukufungia Water pump bure

4: Tutakusafishia kisima chako bure pia

5: Pia tutakupa na water tank bure kabisa

6: Pia tunatoa ushauri bure kabisa

Bei zetu ni nafuu kabisa Pia tunafanya Underground water survey kwa gharama nafuu kabisa

Tupo Dar es salaam-Chanika

Kwa maelezo ya kina usisite kunipigia simu

Mawasiliano: 0625576082
0764418248

Nilitarajia bei nafuu utaiweka hapa watu wakusumbue...
 
Nipo Chanika, nataraji kuchimba kisima mwezi wa 11, nini gharama zenu Kwa mita?
 
Underground water survey kujua maji yapo umbali gani, mnafanya kwa bei gani?
Mkuu kama upo Dar tunafanya kwa laki tatu na nusu unapewa na report yako kabisa
 
Mnapampu ya kuweza kujaza tanki la lita elfu kumi kwa nusu saa? Kisima kinaurefu wa mita 150
Sasa hivi una pampu ya ukubwa gani? Na inajaza ujazo huo kwa muda gani?
 
Ebu kidogo naomba nitoke nje ya mada tafadhali.
Sioni kama mna sababu ya kujivunia upuuzi mnao ufanya kwa kuwaanika wafanyakazi wenu kwenye matangazo yenu, huku wakiwa hawana vifaa vya usalama kama safety helmets, safety boots / shoes, hands gloves na hata uniform.
Kwa tangazo hili, ni ngumu kupata kazi kwa hasa watu makini kama mimi. Sababu sinto penda kuona ama kufurahia mfanyakazi wako akiumia ama akikufa kizembe katika eneo langu la kazi.
Naomba niseme kwamba hamfai kupewa kazi popote kwasababu hamfuati taratibu za usalama kazini zilizo wekwa kisheria na OSHA
tapatalk_1538892093501.jpeg
 
Ebu kidogo naomba nitoke nje ya mada tafadhali.
Sioni kama mna sababu ya kujivunia upuuzi mnao ufanya kwa kuwaanika wafanyakazi wenu kwenye matangazo yenu, huku wakiwa hawana vifaa vya usalama kama safety helmets, safety boots / shoes, hands gloves na hata uniform.
Kwa tangazo hili, ni ngumu kupata kazi kwa hasa watu makini kama mimi. Sababu sinto penda kuona ama kufurahia mfanyakazi wako akiumia ama akikufa kizembe katika eneo langu la kazi.
Naomba niseme kwamba hamfai kupewa kazi popote kwasababu hamfuati taratibu za usalama kazini zilizo wekwa kisheria na OSHA View attachment 889202
Ushauri mzuri... Ila Mungu ni mwema tunapata kazi
 
una umri Gani tangu uanze drilling?
ulisomea wapi hiyo drilling?
MBONA UNAPOTOSHA WATU??????
6 years of drilling na nimesomea chuo cha maji mkuu kama napotosha wasiliana na huyo mteja hapo juu kamfanyia hiyo huduma wala sio kesi
 
Back
Top Bottom