Wachimbaji visima vya maji kwa mashine: Tutakupa pampu, UPVC Pipes, utasafishiwa kisima na kupewa tenki

Wachimbaji visima vya maji kwa mashine: Tutakupa pampu, UPVC Pipes, utasafishiwa kisima na kupewa tenki

TAWA WATER PROFFESIONAL:

Tunachimba visima virefu na vifupi kwa kutumia mashine maalumu.
Ukichimba kisima na kampuni yetu tutakuwekea vitu vifuatavyo bure kabisa

1: Tutakuwekea Upvc pipes Imara bure kabisa

2: Gravel nazo tutakuwekea bure

3: Tutakupa na kukufungia Water pump bure

4: Tutakusafishia kisima chako bure pia

5: Pia tutakupa na water tank bure kabisa

6: Pia tunatoa ushauri bure kabisa

Bei zetu ni nafuu kabisa Pia tunafanya Underground water survey kwa gharama nafuu kabisa

Tupo Dar es salaam-Chanika

Kwa maelezo ya kina usisite kunipigia simu

Mawasiliano: 0625576082
0764418248
View attachment 872086View attachment 872088View attachment 872090
Samahani hamjaweka uwezo was kila ofa mnayoa na ujazo wa tank
 
Karibuni kwa huduma bora za uchimbaji wa visima
 
TAWA WATER PROFFESONAL

Tunachimba visima vya maji na kufanya utafiti wa maji ardhini ( Underground water survey) kwa ghalama nafuu kabisa

Bei ya Uchimbaji kwa wateja wa Dar es salaam ni elfu hamsini kwa mita moja (Tshs 50000) na wateja wa mkoa wa pwani ni elfu sitini kwa mita moja (Tshs 60000)

Tutakuwekea Bomba Upvc,Pampu pamoja na kukusafishia kisima chako .

Ukichimba na sisi tunakuwekea na tenki la maji bure kabisa

Mawasiliano: 0625 576082
0764 418248
Tupo Dar es salaam Chanika-Msumbiji
received_329375674336173.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wa pangani walipima maji sehem mbili zenye mashamba tofauti lakini ni jirani huko Rombo Kilimanjaro Tanzania, sehemu zote wakasema maji yapo 100m, lakini ukanda huo huo wa chini (lower zone) umbali kama kilomita 10 wafadhili walifanikiwa kupata maji, pia umbali kama kilomita 3 kuna ziwa ambalo wanasema chanzo chake cha maji ni mikondo ya chini kwa chini kutoka mlima kilimanjaro hadi ziwani, pia kwa upande wa juu ambao una vilima vidogo umbali mita 450 kuna chemchem mbili; moja inayo maji ya kutosha na nyingine kidogo sana
Rough sketch.jpg


Je kuna probability ya kutosha kupata haya maji kama yakichimbwa? Japokuwa wamepima ndio lakini hofu bado ipo kama yasipopatikana itakua nini, kupoteza hela zote hizo, mita moja wanachimba kwa 150,00

Cc. Pohamba MUUZA NGADA Ushirombo
 
Maji yanapatikana kiongozi
Kuna watu wa pangani walipima maji sehem mbili zenye mashamba tofauti lakini ni jirani huko Rombo Kilimanjaro Tanzania, sehemu zote wakasema maji yapo 100m, lakini ukanda huo huo wa chini (lower zone) umbali kama kilomita 10 wafadhili walifanikiwa kupata maji, pia umbali kama kilomita 3 kuna ziwa ambalo wanasema chanzo chake cha maji ni mikondo ya chini kwa chini kutoka mlima kilimanjaro hadi ziwani, pia kwa upande wa juu ambao una vilima vidogo umbali mita 450 kuna chemchem mbili; moja inayo maji ya kutosha na nyingine kidogo sana
View attachment 990360

Je kuna probability ya kutosha kupata haya maji kama yakichimbwa? Japokuwa wamepima ndio lakini hofu bado ipo kama yasipopatikana itakua nini, kupoteza hela zote hizo, mita moja wanachimba kwa 150,00

Cc. Pohamba MUUZA NGADA Ushirombo
 
Back
Top Bottom