Wachimbaji visima vya maji kwa mashine: Tutakupa pampu, UPVC Pipes, utasafishiwa kisima na kupewa tenki


Nilitarajia bei nafuu utaiweka hapa watu wakusumbue...
 
Nipo Chanika, nataraji kuchimba kisima mwezi wa 11, nini gharama zenu Kwa mita?
 
Underground water survey kujua maji yapo umbali gani, mnafanya kwa bei gani?
Mkuu kama upo Dar tunafanya kwa laki tatu na nusu unapewa na report yako kabisa
 
Mnapampu ya kuweza kujaza tanki la lita elfu kumi kwa nusu saa? Kisima kinaurefu wa mita 150
Sasa hivi una pampu ya ukubwa gani? Na inajaza ujazo huo kwa muda gani?
 
Ebu kidogo naomba nitoke nje ya mada tafadhali.
Sioni kama mna sababu ya kujivunia upuuzi mnao ufanya kwa kuwaanika wafanyakazi wenu kwenye matangazo yenu, huku wakiwa hawana vifaa vya usalama kama safety helmets, safety boots / shoes, hands gloves na hata uniform.
Kwa tangazo hili, ni ngumu kupata kazi kwa hasa watu makini kama mimi. Sababu sinto penda kuona ama kufurahia mfanyakazi wako akiumia ama akikufa kizembe katika eneo langu la kazi.
Naomba niseme kwamba hamfai kupewa kazi popote kwasababu hamfuati taratibu za usalama kazini zilizo wekwa kisheria na OSHA
 
Ushauri mzuri... Ila Mungu ni mwema tunapata kazi
 
una umri Gani tangu uanze drilling?
ulisomea wapi hiyo drilling?
MBONA UNAPOTOSHA WATU??????
6 years of drilling na nimesomea chuo cha maji mkuu kama napotosha wasiliana na huyo mteja hapo juu kamfanyia hiyo huduma wala sio kesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…