#COVID19 Wachina hawataki Lockdown wadai COVID-19 ni usanii tu!

#COVID19 Wachina hawataki Lockdown wadai COVID-19 ni usanii tu!

...n@ vifo vya covid kwa viongozi mbalimbali vikakomea hapo.!!!
images.jpeg.jpg

Inasikitisha.
Hapo pichani nafahamu watatu walioondoka kwa "covid".
 
Binadamu mradi ulizaliwa utafufa tu.
Iwe covid, ukimwi, ebola, malaria kisukari, pressure, ajali, sumu, mauaji, kujinyonga au kuzama.
Ni pale unaposuka kumwondia mtu duniani kwa hila, karma inasema adui kifo atakunyemelea tu na kukupata kwa kukutanguliza.
Ila wote ni wa udongo kwa wakati Mola anaona unafaa.
Kama unaujua huo ukweli kwa nini unajitoa ufahamu na kukebehi kifo cha Magufuli?
 
Sweeden pia labda zinaongozwa na Magufuli...wabongo wanapenda sifa za kizamani,kuabudu watu.
Sweden ipi unazungumzia wewe?
Hapo ilipigwa lockdown vizuri tu kimyakimya.
Labda km umekwenda juzi
Ya kwanza na ya pili,ya tatu ndio watu wanaendelea kujichanganya maana karibia wote washadungwa chanjo zaidi ya mara 2.
 
Sweden ipi unazungumzia wewe?
Hapo ilipigwa lockdown vizuri tu kimyakimya.
Labda km umekwenda juzi
Ya kwanza na ya pili,ya tatu ndio watu wanaendelea kujichanganya maana karibia wote washadungwa

Sweden ipi unazungumzia wewe?
Hapo ilipigwa lockdown vizuri tu kimyakimya.
Labda km umekwenda juzi
Ya kwanza na ya pili,ya tatu ndio watu wanaendelea kujichanganya maana karibia wote washadungwa chanjo zaidi ya mara 2.

Sweden ipi unazungumzia wewe?
Hapo ilipigwa lockdown vizuri tu kimyakimya.
Labda km umekwenda juzi
Ya kwanza na ya pili,ya tatu ndio watu wanaendelea kujichanganya maana karibia wote washadungwa chanjo zaidi ya mara 2.
Unaongea kama upo Sweden au ushafika vile..sasa unataka kubisha nini?? Tunaongelea Lockdown na sio chanjo.
 
Unaongea kama upo Sweden au ushafika vile..sasa unataka kubisha nini?? Tunaongelea Lockdown na sio chanjo.
Watu wanaenda huko na kurudi kila siku.
Mijini kote kulikua na lockdown kabla ya chanjo labda huko ulipo kijijini
 
Watu wanaenda huko na kurudi kila siku.
Mijini kote kulikua na lockdown kabla ya chanjo labda huko ulipo kijijini
Watu gani ni wewe mwenyewe au watu wako wakaribu buddy??? Kijiji gani unacho zungumzia??
 
Back
Top Bottom