Wachina kujenga Dubai ndogo ya Tanzania Ubungo

Wachina kujenga Dubai ndogo ya Tanzania Ubungo

130527173525-tatu-city-africa-urban-future-horizontal-large-gallery.jpg

An artistic impression of Tatu City, Kenya's largest industrial park worth $2.3 million. (Courtesy)
wow thanks for render😀😀😀😀😀😀
 
Hivi ile barabara ya baharini ya wakorea imeishia wapi? Ebu tuwe na vipaumbele kwanza sio kila mradi tunasaini matokeo yake hauanzi kwa wakati
 
Hivi ile barabara ya baharini ya wakorea imeishia wapi? Ebu tuwe na vipaumbele kwanza sio kila mradi tunasaini matokeo yake hauanzi kwa wakati
Tender ya kutafuta mkandarasi imeshatangazwa mwisho wa kuomba ni 15 December. Tender ni kwa makampuni ya Korea Kusini tu....
 
Ubungo eneo dogo.. Wangeenda Tegeta au Kigamboni wanunue yale magorofa ya Dege Eco Village..
 
Tender ya kutafuta mkandarasi imeshatangazwa mwisho wa kuomba ni 15 December. Tender ni kwa makampuni ya Korea Kusini tu....
Na wale waliokua wanaweka machuma ukipita maeneo ya surrender bridge nilikua nawaona ndio walikua wanafanya nini?
 
Rajkot-bus-stand.jpg



Dar es Salaam.
China inakusudia kujenga Kituo cha Kisasa cha Kibiashara katika eneo la Ubungo, kikiwa na uwezo wa kukusanya shughuli zote za biashara na mahitaji ya nyumbani.

Kituo ambacho kitakapokamilika kitalifanya Jiji la Dar es Salaam lifahamike kama ‘Dubai ndogo ya Tanzania’.

Pia, kituo hicho ambacho ujenzi wake unatarajiwa kuanza mwaka huu na kukamilika baada ya miezi 15, kinatajwa kuwa tofauti na Soko Kuu la Kariakoo, kitakuwa na zaidi ya maduka 3,000, maghala madogo zaidi 300 na eneo lenye uwezo wa kuhifadhi magari 5,000. Kitajengwa na Kampuni ya LingHang na kusimamiwa na Serikali ya China.

Wachina kujenga Dubai ndogo ya Tanzania Ubungo

DAR ES SALAAM |China commercial city project | Approved - SkyscraperCity
Tumechoka na photo shop zenu...
Mlikuja na propaganda za kuijenga Dar iwe kma new York ...mpka leo kimya,tunakula vumbi tu kma kawa mitaani kwetu
 
Tender ya kutafuta mkandarasi imeshatangazwa mwisho wa kuomba ni 15 December. Tender ni kwa makampuni ya Korea Kusini tu....
Ilikua ni kitu kinaitwa environmental impact assessment kabla ya kutangaza tender ya ujenzi wowote especially maeneo kama yale ni lazima serikali ifanye hio analysis....
 
Back
Top Bottom