Wachina walalamika waafrika kuwaigiza kwenye mitandao ya jamii wakati wenyewe wakiigiza wanaitwa wabaguzi.

Wachina walalamika waafrika kuwaigiza kwenye mitandao ya jamii wakati wenyewe wakiigiza wanaitwa wabaguzi.

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Wachina kwenye mitandao yao ya kijamii wechat na weibo. Wamelalamika, kukasirika na kuja juu kuhusu wimbi kubwa la waafrika kuwaigiza lugha yao kwa vichekesho kwenye mitandao ya kijamii Tiktok, Instagram, Facebook na YouTube.

Wamedai wao wachina wakiwaigiza waafrika wanaitwa wabaguzi hata kufunguliwa mashtaka lakini waafrika wakiigiza lugha yao kwa vichekesho ni poa.

Wameenda mbali nakudai hata wanapoiga lugha yao haina uhalisia kwani wanaongea tofauti kitu hakieleweki.

Chini hapa ni video ya mtanzania akiigiza kichina kwenye daladala.


View: https://youtube.com/shorts/Cmq9GFJlnAc?si=Rrr2mIk120LPJgak
 
Kuna mtu humu humu nilimuuliza mnavyomuita Mo Dewji Gabachori akifanya comeback yeye mtakubali?

Mtu mweusi mbaguzi sana halafu ana inferiority complex hadi sio poa. Yeye anaona ni sahihi kumuita Bongo Zozo Beberu ila akiitwa yeye anashikilia bango dunia imuonee huruma.
 
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Wachina kwenye mitandao yao ya kijamii wechat na weibo. Wamelalamika, kukasirika na kuja juu kuhusu wimbi kubwa la waafrika kuwaigiza lugha yao kwa vichekesho kwenye mitandao ya kijamii Tiktok, Instagram, Facebook na YouTube.

Wamedai wao wachina wakiwaigiza waafrika wanaitwa wabaguzi hata kufunguliwa mashtaka lakini waafrika wakiigiza lugha yao kwa vichekesho ni poa.

Wameenda mbali nakudai hata wanapoiga lugha yao haina uhalisia kwani wanaongea tofauti kitu hakieleweki.

Chini hapa ni video ya mtanzania akiigiza kichina kwenye daladala.


View: https://www.youtube.com/watch?v=Few8kJ0zfnY&pp=ygU0Q2hpbmVzZSBhZHZlcnRpc2VtZW50cyBvbiBibGFjayBwZXJzb24gdHVybmluZyB3aGl0ZQ%3D%3D

Naungana nao, mfano utasikia tunamwita manji majina ya ajabu, hata Hussein Bashe, lakini iwapo wao watafanya hivyo tutasema ni wabaguzi. SIsi ni wabaguzi sana waafrika. Mwafrika akiishi Marekani au kuzaliwa Marekani anataka atambulike kama Mmarekani, ila kuna wahindi wako hapa miaka wamezaliwa hapa bado hatutaki kuwatambua kama Watanzania.
 
Nisahihi kabisa,kila siku huwa nasema hakuna mtu mbaguzi kama mtu mweusi,fanya kautafiti mmekaa mablack kama mimi ambao tunaonekana meno tu,akikatisha mtu mwenye rangi nyingine lazima mmtete na kumsema vibaya,sisi huwa tunaona nikawaida tu...... honestly sisi weusi hatujui maana ya ubaguzi ila tunaumia tukibaguliwa
 
Naungana nao, mfano utasikia tunamwita manji majina ya ajabu, hata Hussein Bashe, lakini iwapo wao watafanya hivyo tutasema ni wabaguzi. SIsi ni wabaguzi sana waafrika. Mwafrika akiishi Marekani au kuzaliwa Marekani anataka atambulike kama Mmarekani, ila kuna wahindi wako hapa miaka wamezaliwa hapa bado hatutaki kuwatambua kama Watanzania.
Mtu mweusi mbinafsi sana. Angalia tunavyowatreat wale machotara wa Taifa Stars.
 
Kbisa mkuu. Hata yule mzungu alikuja hapa hadi akatungiwa wimbo imagine ingekuwa ni mchezaji mweusi ligi ya Uingereza kafanyiwa vile?
Yangezuka maandamano na hashtag za kutosha.

Miaka mingi sana mtu mweusi anawaita Waarabu sio Mwafrika. Hatujawahi kuwasapoti hata kuanzia Afcon hadi michuano ya mabara. Hata ikitokea Senegal anacheza na Egypt huwa wanashangilia Senegal ukiwauliza sababu watakwambia hao ni weusi wenzetu.

Mungu alivyo wa ajabu 2022 kule Qatar, Morocco alipambana akatinga nusu fainali na kuna mchezaji wao mmoja Boufal kama sikosei kwenye salamu za shukrani akazipeleka kwa watu wa Morocco na Waarabu wote dunia nzima.

Kwa mara ya kwanza mtu mweusi akaonjeshwa ladha ya dawa waliyokuwa wanawapatia Waarabu. Lilitoka povu hadi sio poa.
 
Yangezuka maandamano na hashtag za kutosha.

Miaka mingi sana mtu mweusi anawaita Waarabu sio Mwafrika. Hatujawahi kuwasapoti hata kuanzia Afcon hadi michuano ya mabara. Hata ikitokea Senegal anacheza na Egypt huwa wanashangilia Senegal ukiwauliza sababu watakwambia hao ni weusi wenzetu.

Mungu alivyo wa ajabu 2022 kule Qatar, Morocco alipambana akatinga nusu fainali na kuna mchezaji wao mmoja Boufal kama sikosei kwenye salamu za shukrani akazipeleka kwa watu wa Morocco na Waarabu wote dunia nzima.

Kwa mara ya kwanza mtu mweusi akaonjeshwa ladha ya dawa waliyokuwa wanawapatia Waarabu. Lilitoka povu hadi sio poa.
Hahahahaha
 
Kuna mtu humu humu nilimuuliza mnavyomuita Mo Dewji Gabachori akifanya comeback yeye mtakubali?

Mtu mweusi mbaguzi sana halafu ana inferiority complex hadi sio poa. Yeye anaona ni sahihi kumuita Bongo Zozo Beberu ila akiitwa yeye anashikilia bango dunia imuonee huruma.
Mwafrika ni sawa na muislamu,anapenda sana huruma
 
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Wachina kwenye mitandao yao ya kijamii wechat na weibo. Wamelalamika, kukasirika na kuja juu kuhusu wimbi kubwa la waafrika kuwaigiza lugha yao kwa vichekesho kwenye mitandao ya kijamii Tiktok, Instagram, Facebook na YouTube.

Wamedai wao wachina wakiwaigiza waafrika wanaitwa wabaguzi hata kufunguliwa mashtaka lakini waafrika wakiigiza lugha yao kwa vichekesho ni poa.

Wameenda mbali nakudai hata wanapoiga lugha yao haina uhalisia kwani wanaongea tofauti kitu hakieleweki.

Chini hapa ni video ya mtanzania akiigiza kichina kwenye daladala.


View: https://youtube.com/shorts/Cmq9GFJlnAc?si=Rrr2mIk120LPJgak

hayo malalamiko yako wap
 
Mbona US watu weusi wanaitana niga,
rappers weusi wanapenda hilo neno ila Eminem hutamsikia akitamka hilo neno sio kwamba hataki au hapendi, anajua akisha sema neno nigga kwenye nyimbo zake ataonekana mbaguzi na career yake itaishia hapo.

Mimi naona mtu mweusi ni inferior ndo maana inaonekana ni sawa tu chochote atachofanya hakiwezi kuwa ubaguzi kwa superiors(whites). Hao wachina na wenyewe ni walewale kama mtu mweusi aliye changamka ndo maana wanalilia
 
Back
Top Bottom