Wachina walalamika waafrika kuwaigiza kwenye mitandao ya jamii wakati wenyewe wakiigiza wanaitwa wabaguzi.

Wachina walalamika waafrika kuwaigiza kwenye mitandao ya jamii wakati wenyewe wakiigiza wanaitwa wabaguzi.

Yangezuka maandamano na hashtag za kutosha.

Miaka mingi sana mtu mweusi anawaita Waarabu sio Mwafrika. Hatujawahi kuwasapoti hata kuanzia Afcon hadi michuano ya mabara. Hata ikitokea Senegal anacheza na Egypt huwa wanashangilia Senegal ukiwauliza sababu watakwambia hao ni weusi wenzetu.

Mungu alivyo wa ajabu 2022 kule Qatar, Morocco alipambana akatinga nusu fainali na kuna mchezaji wao mmoja Boufal kama sikosei kwenye salamu za shukrani akazipeleka kwa watu wa Morocco na Waarabu wote dunia nzima.

Kwa mara ya kwanza mtu mweusi akaonjeshwa ladha ya dawa waliyokuwa wanawapatia Waarabu. Lilitoka povu hadi sio poa.

Mkuu waarabu wa Qatar na nchi za jirani walikuwa wakiingia uwanjani kila inapocheza Morocco na kuwashangiria kwa nguvu sana kuwapa sapoti, Jamaa alivyo toa shukurani kwao alikuwa sahihi kabisa kwa sababu alikuwa akiona nguvu ya support yao toka mashindano yalipoanza.

Ila watu weusi walivyokosa hata aibu ambao siku zote wamekuwa wakiwabagua hao Morocco halafu wamekuja kulialia kuwa hawakutajwa kwenye shukurani
 
Back
Top Bottom