Wachina walalamika waafrika kuwaigiza kwenye mitandao ya jamii wakati wenyewe wakiigiza wanaitwa wabaguzi.

Waige nao Kiswahili. Hakuna aliyekejeli rangi yao au maumbile yao.
 

Mkuu waarabu wa Qatar na nchi za jirani walikuwa wakiingia uwanjani kila inapocheza Morocco na kuwashangiria kwa nguvu sana kuwapa sapoti, Jamaa alivyo toa shukurani kwao alikuwa sahihi kabisa kwa sababu alikuwa akiona nguvu ya support yao toka mashindano yalipoanza.

Ila watu weusi walivyokosa hata aibu ambao siku zote wamekuwa wakiwabagua hao Morocco halafu wamekuja kulialia kuwa hawakutajwa kwenye shukurani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…