Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
- Thread starter
- #21
Mkuu lugha gongana kingereza hawajui 😁Wapeleke Serikali Ya Mtaa Kwa Uchafu Uliopitilizaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu lugha gongana kingereza hawajui 😁Wapeleke Serikali Ya Mtaa Kwa Uchafu Uliopitilizaa
😁😁😁😁😁Poleni aisee
Kuna siku nilikua kkoo niliposimama pembeni alikua mchina ..alikua ananichefua kila Mara anatema mimate..mshenzy yule nilimkata jicho mpaka akaingia kwenye kiduka Chao..
Njo pm uone pichaPicha
Biashara ya kupangisha nyumba no changamoto mkuuNdio maaana mm nasema biashara ya kupangisha iwe ya mwisho maana haiwezi kukutoa wanalipa milioni 9 kwa mwezi, je nyumba imejengwa kwa thamani ya sh ngapi ? Na hiyo milion 9 wanayolipa itachukua miaka mingapi pesa kurudi??m
Imekaaje... Wasomali je?Bora hao, wahindi je? Wanatema tambuu kwenye bedroom na kunya humo.
Tafuta pesa misemo ya pesa kurudi Ni ya masikini wengine tunajitoa unanunua hiace afu una assume Kama ulinunua kiatu inaenda fanya kazi inaleta pesa misemo ya pesa kurudi Ni ya masikiniNdio maaana mm nasema biashara ya kupangisha iwe ya mwisho maana haiwezi kukutoa wanalipa milioni 9 kwa mwezi, je nyumba imejengwa kwa thamani ya sh ngapi ? Na hiyo milion 9 wanayolipa itachukua miaka mingapi pesa kurudi??m
Sasa wewe una nyumba ipi unakula kwa shikamoo tabia za kike umekaa kidada dadaMkuu heshima muhimu
Unajua madhara ya kuwa na nyumba chafu au unaongea tu
Nonsense stress za kukosa ajira hiziSasa wewe una nyumba ipi unakula kwa shikamoo tabia za kike umekaa kidada dada
Ni ushauri tu mkuuTukusaidieje,kuna watu hawapati hiyo 9 mil kwa mwaka.
Nonsense stress za kukosa ajira hizi
Bora umetoa onyo mapema. Watu kama mtoa mada ndiyo wanakujaga kuvuruga wosia wa marehemu..Nyumba ya Mzee amepangisha sio 'tuliwapangisha wachina' mbona unajimilikisha wakati Mzee yupo.
Mada nzuri ila tatizo umewasilisha mada huku ukijipa umiliki wa hiyo nyumba.
Mtoa mada atafutiwe mume Mara moja akakae kwake kufatilia nyumba ya mzazi Ni upuuziBora umetoa onyo mapema. Watu kama mtoa mada ndiyo wanakujaga kuvuruga wosia wa marehemu..
Ikitokea mzee wa mleta mada kaoa mke wa kumtunza uzeeni halafu akampa hiyo nyumba unadhani mleta mada atakubali??
Stress za ajira hizoSijamaliza kusoma binti
Naombaje ajira ikiwa niko 2nd year