Wachina wanaongoza kwa uchafu

Wachina wanaongoza kwa uchafu

Poleni aisee
Kuna siku nilikua kkoo niliposimama pembeni alikua mchina ..alikua ananichefua kila Mara anatema mimate..mshenzy yule nilimkata jicho mpaka akaingia kwenye kiduka Chao..
😁😁😁😁😁
Ulitamani umzabe kibao aisee ni wachafu kinoma
 
Ndio maaana mm nasema biashara ya kupangisha iwe ya mwisho maana haiwezi kukutoa wanalipa milioni 9 kwa mwezi, je nyumba imejengwa kwa thamani ya sh ngapi ? Na hiyo milion 9 wanayolipa itachukua miaka mingapi pesa kurudi??m
Biashara ya kupangisha nyumba no changamoto mkuu
Hailipi kwa wakati
 
Kwahiyo unawahukumu wachina wote ambao Population yao ni 1.4 Billion ambao ni sawa na idadi ya watu wote wa bara zima la Africa kwa kutumia hao wachina mliowapangisha tu?
 
Kuna wachina walipangishwa mikocheni bonge la mjengo ,ikawa kila siku jion zinatoka canter mbili au tatu nakurudi ,kumbe vile vihuni vimefungua kiwanda mule ndani vimechezea na umeme wa tanesko kodi vinalipa mapema tu tena ya muda mrefu ili kupunguza mazoea na mwenye nyumba, siku tanesko wanasanuka wanaibiwa ndio mwenye nyumba anakuja kujua kama nyumba yake ilikua tanuri cracks za kuogofya kila mahari tiles na gypsum hazifai kwa masizi kwa ufupi wachina ukiwapangisha wafunguie cctv mpaka chooni hawaaminiki
 
Ndio maaana mm nasema biashara ya kupangisha iwe ya mwisho maana haiwezi kukutoa wanalipa milioni 9 kwa mwezi, je nyumba imejengwa kwa thamani ya sh ngapi ? Na hiyo milion 9 wanayolipa itachukua miaka mingapi pesa kurudi??m
Tafuta pesa misemo ya pesa kurudi Ni ya masikini wengine tunajitoa unanunua hiace afu una assume Kama ulinunua kiatu inaenda fanya kazi inaleta pesa misemo ya pesa kurudi Ni ya masikini
 
Tukusaidieje,kuna watu hawapati hiyo 9 mil kwa mwaka.
 
Wachina na waturuki wa SGR inatakiwa kuwabana kwenye mkataba.

1. Kuwe na kipengele kwrnye mkataba ambacho kitawataka wadeposit 20% ya kodi wanayolipa kwaajili ya kulipia uharibifu wowote utakaojitokeza

2 Vingine nitakwambia siku nyingine
 
Nyumba ya Mzee amepangisha sio 'tuliwapangisha wachina' mbona unajimilikisha wakati Mzee yupo.
Mada nzuri ila tatizo umewasilisha mada huku ukijipa umiliki wa hiyo nyumba.
Bora umetoa onyo mapema. Watu kama mtoa mada ndiyo wanakujaga kuvuruga wosia wa marehemu..

Ikitokea mzee wa mleta mada kaoa mke wa kumtunza uzeeni halafu akampa hiyo nyumba unadhani mleta mada atakubali??
 
Nyumba inaingiza million 9 kwa mwaka mnashindwa kutenga laki 9 katika hio hela kwa ajili ya kumlipa mtu wa usafi mwaka mzima? 🤣
 
Bora umetoa onyo mapema. Watu kama mtoa mada ndiyo wanakujaga kuvuruga wosia wa marehemu..

Ikitokea mzee wa mleta mada kaoa mke wa kumtunza uzeeni halafu akampa hiyo nyumba unadhani mleta mada atakubali??
Mtoa mada atafutiwe mume Mara moja akakae kwake kufatilia nyumba ya mzazi Ni upuuzi
 
非常抱歉,我们会尽快离开您的构建
 
Back
Top Bottom