Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Huku Serikali ikijinasibu kwa mbwembwe na mapambio kwamba haupo mradi uliosisima huko Mbeya Wachina wanaojenga barabara ya njia nne kuanzia Uyole hadi Ifisi huko Mbeya wamegoma kuendelea na ujenzi wakidai malimbikizo ya mamilioni wanayoidai Serikali.
Ujenzi umesimama miezi miwili sasa.
Ujenzi umesimama miezi miwili sasa.