Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Imesimama kitambo sana toka wapewe hiyo tenda ile barabara ukitokea ifisi imeishia kukwanguliwa mpaka mbalizi tarafani baada ya hapo wameanzia tena iwambi hata iyunga hawajafika wameruka mpaka simike kwa kweli ujenzi unasuasua mno,ila ingekuwa ni kampeni za ccm hela zisingekosekana