Wachina watuombe msamaha Waafrika mara moja

Wachina watuombe msamaha Waafrika mara moja

Pamoja na kuwa na mahusiano mazuri na nchi za kiafrika lakini wachina wanatudharau sana wa Africa.

Wachina wanaita Africa bara la giza/jeusi, bara chafu, bara liloshindikana. Wanaita Afrika FEIZHOU ()非洲) ikiwa na maana dark continent..bara jeusi..

Hiyo ndiyo maana ya FEIZHOU..View attachment 430277
Nadhani nyeusi/jeusi ni HEI... Hilo FEI ZHOU si baya kama HEI REN
 
Wakati mwingine unapokaa chini Na kulia,unampa adui nafasi ya kushinda, hawa watu n maadui zetu wa maendeleo wanajua gap walilotuacha ndo maana wana uhuru wa kusema watakacho,,,
Tuwaache waseme Tu maana hatutoweza kuwazuia kwa maneno, tunapaswa kuchapa kazi Ili siku moja Africa isimame kwa kujitegemea..


On the other hand,, viongoz wetu wanazidi kuombaomba ndo maana tunadharaulika, inabidi tuwapunguzie thaman hawa watu weupe, Leo hii unakuta hata barabara ya km1 inajengwa Na kampuni ya china, hapo utajiuliza inamaana hadi karne hii afrika hatuna wataalam wa kujenga barabara? Na majengo pia ?

Tukipunguza kuwahusudu watatuheshim tu
 
Mambo ya kulalamika lalamika haya na maneno maneno hata kama wamesema kweli hayana maana...

Kama deals ziko mezani na zina-benefit then f.uck it,lets do business...biashara haigombi..

Zamani ni Egyptians,wakaja Wagiriki,wakaja Roman Empire,wakaja Wazungu,wakaja Wamarekani,watakuja Wachina then Wahindi most probably tukafatia Waafrika....muda wetu utafika hata kama ni 1000 yrz to come...

Waache waringe,it don bother us as long as biashara ina make sense,kama hamna maslahi hata watupende vipi I cant do business wit'em!
TRUE sayn
 
kwa swala la high way na


kwa swala la highway and building construction wachina wako mbali sana..
kwanini nasisi tusianze kama walivyoanza wao na kufika huko mbali sana!!
 
Pamoja na kuwa na mahusiano mazuri na nchi za kiafrika lakini wachina wanatudharau sana wa Africa.

Wachina wanaita Africa bara la giza/jeusi, bara chafu, bara liloshindikana. Wanaita Afrika FEIZHOU ()非洲) ikiwa na maana dark continent..bara jeusi..

Hiyo ndiyo maana ya FEIZHOU..View attachment 430277
Bara lenye kipindu pindu karne ya 21..meaning wat?.."kinyesi is on the menu"...bara kiongozi anayejitengenezea namna ya kubaki madarakani kwa kubadilisha katiba "Mbulula hana akili tutampeleka msobe msobe"...bara..sheria za manunuzi zipo..sizonje ananunua panga boi kama kwenda gengen kununua mandaz "Judge mkuu na mwanasheria mkuu mkia kunako"..bara ambalo..toothpic tutoa china..wataachaje kutushangaa?...
Its dark..dirty..sick and sucks!
 
Back
Top Bottom