Mambo ya kulalamika lalamika haya na maneno maneno hata kama wamesema kweli hayana maana...
Kama deals ziko mezani na zina-benefit then f.uck it,lets do business...biashara haigombi..
Zamani ni Egyptians,wakaja Wagiriki,wakaja Roman Empire,wakaja Wazungu,wakaja Wamarekani,watakuja Wachina then Wahindi most probably tukafatia Waafrika....muda wetu utafika hata kama ni 1000 yrz to come...
Waache waringe,it don bother us as long as biashara ina make sense,kama hamna maslahi hata watupende vipi I cant do business wit'em!