Nadhani nyeusi/jeusi ni HEI... Hilo FEI ZHOU si baya kama HEI RENPamoja na kuwa na mahusiano mazuri na nchi za kiafrika lakini wachina wanatudharau sana wa Africa.
Wachina wanaita Africa bara la giza/jeusi, bara chafu, bara liloshindikana. Wanaita Afrika FEIZHOU ()非洲) ikiwa na maana dark continent..bara jeusi..
Hiyo ndiyo maana ya FEIZHOU..View attachment 430277
TRUE saynMambo ya kulalamika lalamika haya na maneno maneno hata kama wamesema kweli hayana maana...
Kama deals ziko mezani na zina-benefit then f.uck it,lets do business...biashara haigombi..
Zamani ni Egyptians,wakaja Wagiriki,wakaja Roman Empire,wakaja Wazungu,wakaja Wamarekani,watakuja Wachina then Wahindi most probably tukafatia Waafrika....muda wetu utafika hata kama ni 1000 yrz to come...
Waache waringe,it don bother us as long as biashara ina make sense,kama hamna maslahi hata watupende vipi I cant do business wit'em!
Nabii haukubaliki kwaomie nashangaa wajenga maghorofa serikali inawapa wachina wakati kuna wabongo wako vizuri
kwanini nasisi tusianze kama walivyoanza wao na kufika huko mbali sana!!kwa swala la high way na
kwa swala la highway and building construction wachina wako mbali sana..
Bara lenye kipindu pindu karne ya 21..meaning wat?.."kinyesi is on the menu"...bara kiongozi anayejitengenezea namna ya kubaki madarakani kwa kubadilisha katiba "Mbulula hana akili tutampeleka msobe msobe"...bara..sheria za manunuzi zipo..sizonje ananunua panga boi kama kwenda gengen kununua mandaz "Judge mkuu na mwanasheria mkuu mkia kunako"..bara ambalo..toothpic tutoa china..wataachaje kutushangaa?...Pamoja na kuwa na mahusiano mazuri na nchi za kiafrika lakini wachina wanatudharau sana wa Africa.
Wachina wanaita Africa bara la giza/jeusi, bara chafu, bara liloshindikana. Wanaita Afrika FEIZHOU ()非洲) ikiwa na maana dark continent..bara jeusi..
Hiyo ndiyo maana ya FEIZHOU..View attachment 430277