Wachochezi karibuni tuchochee

Wachochezi karibuni tuchochee

basi nikaenda kumuangalia pengine yu njiani analudi, Hamad! nikakuta kundi dogo la watu wakimsema baba kila mtu na kauli zake huku wengine wakijawa na tashwishi pamoja na mihemuko "baba yule ana makengeza ya akili", baba yule si wa kupanga nae jambo. asubuhi atasema hili jioni lile", "eti anatamba vilabuni hakuna alietoa mchango wa harusi yake kwa hiyo watu wasiingilie ndoa yake" , "ni mwingi wa kujiapiza na kupitapita masinagogini huku akilalama aombewe" , "anawapa mimba vijakazi wake" na zingine nyingi... na mie hapo hapo wazo likaniijia - mbona kwetu wageni hata wa mtaa wa jirani hawatutembelei na mbona baba hua hasafiri kwenda hata vijiji vya maghalibi!? na mengine mengi FASIHI ANDISHI

Mh!Kumbe pesa ya kitoweo amekwenda kunywea pombe kilabuni?Mie sina habari!
 
Hamia airport noah zimefaulishwa kulipia bombadia

Asisahau kuvaa bullet proof mwili mzima maana shetani na shogaake wamekalia misumari kutoka Nairobi.Wana hasira haooo [emoji1550][emoji1550]
 
Back
Top Bottom