Wachumba wa jf na mpesa,tigo pesa,??????????

Wachumba wa jf na mpesa,tigo pesa,??????????

Smile

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
15,347
Reaction score
11,619
Ni ushauri tu
kuna hii tabia ya wakaka /wababa/wazee wanaotoa matangazo yao ya kutafuta wachumba humu
mtu anatiritika sifa za amtakae then kuna hiki kipengele mnakipenda sana sijui ndo wimbo wa taifa kwenu? Oooh asiwe anapiga mizinga ooh dont mpesa me,or dont tigo pesa or airtel money me????
Khaaa mnajihami nini ? Ulishampesa na kutigopesa wangapi? Nani kasema ana shida na pesa by the way kama hela ni issue na unazo si zingekupa partner siku zote? Mbona unakuja kutulilia pm hapa
huko ni kuogopa majukumu,kuwa simple
sio wanawake wote wapo kiiivo ila ukishatanguliza umimi umimi katika vitu vyako unajipunguzia maksi,changu changu hela zangu hela zangu kaa nazo basi!
Wala hamna mtu mwenye time na hela zenu wanawake wanapenda mapenzi ya dhati na sio pesa ,hata sisi tunatafuta
chorusOn his death bed, Alexander summoned his generals and told them his threeultimate wishes:

1. The best doctors should carry his coffin;

2. The wealth he has accumulated (money, gold, precious stones…) should be scattered along the procession to the cemetery, and

3. His hands should be let loose, hanging outside the coffin for all to see!!

One of his general who was surprised by these unusual re...quests asked Alexander to explain. Here is what Alexander the Great had to say:

1. I want the best doctors to carry my coffin to demonstrate that, in the face of death, even the best doctors in the world have no power to heal;

2. I want the road to be covered with my treasure so that everybody sees that material wealth acquired on earth, stays on earth...

3. I want my hands to swing in the wind, so that people understand that we come to this world empty handed and we leave this world empty handed
 
Madam X pole sana kuna mdau nimemuona anakutukana kisa mpesa
 
Last edited by a moderator:
Mmmh mi sidhan kama Mwanamke anapenda pasipo pesa
 
Thumbs up dada Smile. Mtu anayejali hela sana kuliko utu hafai hata kwa nazi.

Nadhani kizazi chetu hiki kimeathiriwa na habari ya fedha. upendo wa pesa umezidi hata utu wa mtu. This is totally immoral. Money is just a means. kwani tulizaliwa nayo? kwani tutazikwa nazo? kama pesa ni kipaumbele kihivyo, basi nunulieni nayo amani ya mioyo yenu. na kama haitoshi, si muitumie kununua hao wachumba?

Utu wetu kwanza.
Ni ushauri tu
kuna hii tabia ya wakaka /wababa/wazee wanaotoa matangazo yao ya kutafuta wachumba humu
mtu anatiritika sifa za amtakae then kuna hiki kipengele mnakipenda sana sijui ndo wimbo wa taifa kwenu? Oooh asiwe anapiga mizinga ooh dont mpesa me,or dont tigo pesa or airtel money me????
Khaaa mnajihami nini ? Ulishampesa na kutigopesa wangapi? Nani kasema ana shida na pesa by the way kama hela ni issue na unazo si zingekupa partner siku zote? Mbona unakuja kutulilia pm hapa
huko ni kuogopa majukumu,kuwa simple
sio wanawake wote wapo kiiivo ila ukishatanguliza umimi umimi katika vitu vyako unajipunguzia maksi,changu changu hela zangu hela zangu kaa nazo basi!
Wala hamna mtu mwenye time na hela zenu wanawake wanapenda mapenzi ya dhati na sio pesa ,hata sisi tunatafuta
 
sio wanawake wote wapo kiiivo ila ukishatanguliza umimi umimi katika vitu vyako unajipunguzia maksi,changu changu hela zangu hela zangu kaa nazo basi!
Wala hamna mtu mwenye time na hela zenu wanawake wanapenda mapenzi ya dhati na sio pesa ,hata sisi tunatafuta

Kwa maana nyingine unataka wadanganye (wasionyeshe true colours) kwamba wenyewe ni wachoyo au wanachukizwa na hii tabia ili wapate wengi (ambao huenda hawatadumu kutokana na kuchukizwa na tabia fulani ambayo hawakuisema mwanzo) ?

Nadhani kuwa muwazi sio mbaya kila mtu ana vigezo vyake na bora hawa watu wapate PM moja ya watu waliosambamba kuliko PM 200 ambazo wote sio candidates wanaowataka, (si unaona kwa kuweka hiki kipengele watakuwa wameshakupoteza wewe, hence saving time) kuliko wasingeweka wakapoteza muda wao na watu wasiopenda so called uchoyo..
 
Thumbs up dada Smile. Mtu anayejali hela sana kuliko utu hafai hata kwa nazi.

Nadhani kizazi chetu hiki kimeathiriwa na habari ya fedha. upendo wa pesa umezidi hata utu wa mtu. This is totally immoral. Money is just a means. kwani tulizaliwa nayo? kwani tutazikwa nazo? kama pesa ni kipaumbele kihivyo, basi nunulieni nayo amani ya mioyo yenu. na kama haitoshi, si muitumie kununua hao wachumba?

Utu wetu kwanza.
kuna mdada alikuwa analalamika eti jamaa yake ana hela sana,dada wa watu akimwambia i love you darling mfano anamjibu weee haibiwi mtu hapa,akimbusu kidogo anamsukuma anamwambia hadanganyiki mtu,dada wa watu akasepa zake,jamaa akanywa sumu.yaani hawajiamini ,wakiwa nazo shida,hawana wanasalitiwa? pesa ni karatasi tu,mtu umenijua na meno yangu 32 uje unizingue na mpesa zako za elfu kumi hapa mjini?
 
Kwa maana nyingine unataka wadanganye (wasionyeshe true colours) kwamba wenyewe ni wachoyo au wanachukizwa na hii tabia ili wapate wengi (ambao huenda hawatadumu kutokana na kuchukizwa na tabia fulani ambayo hawakuisema mwanzo) ?

Nadhani kuwa muwazi sio mbaya kila mtu ana vigezo vyake na bora hawa watu wapate PM moja ya watu waliosambamba kuliko PM 200 ambazo wote sio candidates wanaowataka, (si unaona kwa kuweka hiki kipengele watakuwa wameshakupoteza wewe, hence saving time) kuliko wasingeweka wakapoteza muda wao na watu wasiopenda so called uchoyo..
duuuh basi wachoyo wengi kwa kweli
 
Tangu nimeanza kutafuta pesa sijawahi zishika, nifanyeje?
Wahongaji nao ndo hawa, tutakula polisi mwaka huu
 
Kwa maana nyingine unataka wadanganye (wasionyeshe true colours) kwamba wenyewe ni wachoyo au wanachukizwa na hii tabia ili wapate wengi (ambao huenda hawatadumu kutokana na kuchukizwa na tabia fulani ambayo hawakuisema mwanzo) ?

Nadhani kuwa muwazi sio mbaya kila mtu ana vigezo vyake na bora hawa watu wapate PM moja ya watu waliosambamba kuliko PM 200 ambazo wote sio candidates wanaowataka, (si unaona kwa kuweka hiki kipengele watakuwa wameshakupoteza wewe, hence saving time) kuliko wasingeweka wakapoteza muda wao na watu wasiopenda so called uchoyo..
chorusOn his death bed, Alexander summoned his generals and told them his threeultimate wishes:

1. The best doctors should carry his coffin;

2. The wealth he has accumulated (money, gold, precious stones&#8230😉 should be scattered along the procession to the cemetery, and

3. His hands should be let loose, hanging outside the coffin for all to see!!

One of his general who was surprised by these unusual re...quests asked Alexander to explain. Here is what Alexander the Great had to say:

1. I want the best doctors to carry my coffin to demonstrate that, in the face of death, even the best doctors in the world have no power to heal;

2. I want the road to be covered with my treasure so that everybody sees that material wealth acquired on earth, stays on earth...

3. I want my hands to swing in the wind, so that people understand that we come to this world empty handed and we leave this world empty handed
 
Kuna jamaa juz juz alitoa ushuhuda hapa kwamba alilizwa na "mwanadada" JF huko Iringa. Umesahau?
 
Thumbs up dada Smile. Mtu anayejali hela sana kuliko utu hafai hata kwa nazi.

Nadhani kizazi chetu hiki kimeathiriwa na habari ya fedha. upendo wa pesa umezidi hata utu wa mtu. This is totally immoral. Money is just a means. kwani tulizaliwa nayo? kwani tutazikwa nazo? kama pesa ni kipaumbele kihivyo, basi nunulieni nayo amani ya mioyo yenu. na kama haitoshi, si muitumie kununua hao wachumba?

Utu wetu kwanza.
chorusOn his death bed, Alexander summoned his generals and told them his threeultimate wishes:

1. The best doctors should carry his coffin;

2. The wealth he has accumulated (money, gold, precious stones…) should be scattered along the procession to the cemetery, and

3. His hands should be let loose, hanging outside the coffin for all to see!!

One of his general who was surprised by these unusual re...quests asked Alexander to explain. Here is what Alexander the Great had to say:

1. I want the best doctors to carry my coffin to demonstrate that, in the face of death, even the best doctors in the world have no power to heal;

2. I want the road to be covered with my treasure so that everybody sees that material wealth acquired on earth, stays on earth...

3. I want my hands to swing in the wind, so that people understand that we come to this world empty handed and we leave this world empty handed
 
Sio kila unachokipenda wewe, na mwingine hatakipenda...
Hupendi kuambiwa don't MPESA or TIGOPESA me, lakini kwa mwanamke mwingine hiyo kwake ni credit ya kupata mwanaume wa ndoto zake...
Vilevile ni taadhari kabla ya hatari maana wapo wanawake aambao kutwa ni kuwinda "chapaa" za wanaume, hivyo kwa kuwa mtu anatafuta mwenzi kwa njia ya mtandao hiyo ni encounter nzuri tu kuepusha msongamano.
Hivyo Smile usilazimishe watu kuamini unachoamini, acha watu wafungunke na wajulikane rangi zao.
 
Last edited by a moderator:
Tangu nimeanza kutafuta pesa sijawahi zishika, nifanyeje?
Wahongaji nao ndo hawa, tutakula polisi mwaka huu
wanakaba qualification ya kwanza ,hataki kujua umri,wala dini wala taifa wala upendo.
,dont mpesa me ,dont tigo pesa me khaaa imekuwa ugomvi?
 
Back
Top Bottom