Gaspare Mbile
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 1,568
- 1,603
Asante sana kwa kuelewa content yangu. Excellent.. Sasa tatizo jingine hapo ni majukumuuuu.. ikifika mwisho wa mwezi mhmmhmhmhmh hizo simu sasa duhhhhhhhhhhh!Unafanya kazi unapokea mshahara mwisho wa mwezi, basi weka akiba kila mwisho wa mwezi kwa kiwango fulani halafu ikifikia kiwango cha fedha unazotaka kuanza nazo kwa biashara husika basi anza.
Unaogopa kuibiwa wazo? ok sasa onesha gharama zinazohitajika kuanzisha hiyo bisahara yako, kisha eleza kama utalamu wako una mchago wowote kwenye hiyo biashara yako, halafu onesha kipato chako kwa mwezi pamoja na matumizi yako,angalau hapo tunaweza anza kutoa ushauriHapo sasa ndo kasheshe
limatafuta kibarua ufanye ili upate hiyo ela ya mtaji pia ushauri
mwingine ni kua usikope
Habari wachumi!
Ni mbinu gani nifanye ili niweze kupata mtaji wa kuanzisha biashara tofauti na kuchukua mkopo???
Jifunze kwanza kanuni za pesa.
Nakushauri uanze kwa kusoma kitabu kidogo kinaitwa "The Richest Man in Babylon" naweza kukutumia soft copy au kukununulia kabisa hard copy kama unapenda kusoma vitabu.
Ubarikiwe
Mkuu naomba soft copy ya kitabu
Ni kosa kusoma kitabu ambacho unataka kufanyia wazo lako kazi,,,maarifa utakayoyasoma huwez kuyaelewa mpaka utulie na ujipe muda cha muhim ongeza maarifa bila kua na hitaji hilo kwq kipindi hicho...Jifunze kwanza kanuni za pesa.
Nakushauri uanze kwa kusoma kitabu kidogo kinaitwa "The Richest Man in Babylon" naweza kukutumia soft copy au kukununulia kabisa hard copy kama unapenda kusoma vitabu.
Ubarikiwe
Kwa kifaa unacho miliki being Yake dukani imesimama kidgo unaweza ukaiuza hio Simu then io HEla utakayo pata uka gawa kidgo uka nunua smart nyngine ata ya kilo mbili inatosha then hio HElA ilio baki ndo mtaji wako sasaSony Experia Z1
Nataka kuthubutu kwa kuanza na biashara ndogo kwanza though sijajua ni biashara gani
Sasa kama unakazi hifadhi huo mshahara wako kwa kupunguza matumizi ili upate mtaji, kama huwezi kuhifadhi hicho unachokipata basi achana na mawazo ya Biashara .Nina Kazi ya kunipatia mshahara kila mwisho wa mwezi... Sasa nataka kuanzisha biashara ili niweze kuwa na source tofauti za pesa. sasa nifanyeje hapo ili niweze kuanzisha biashara??