Wachumi, ni wapi pana nafuu kati ya awamu ya tano na ya sita?

Wachumi, ni wapi pana nafuu kati ya awamu ya tano na ya sita?

Ningependa kupewa ufafanuzi wa kiuchumi ni hali ipi huwa ina unafuu

A. Mzunguko wa pesa kuwa mdogo ila bei za bidhaa / huduma ni kawaida.

Awamu hii ilisifika kwa msemo maarufu vyuma vimekaza, mzunguko wa pesa ulipungua kwa sababu biashara nyingi zilifufungwa ama kusua sua, hakukuwa na ongezeko lolote la mishahara, pesa mtaani ilipungua sana yani , hata ile nguvu ya kununua ilipungua ila be zilikuwa kawaida

B. Mzunguko wa pesa kufufuka ila bei zinakuwa zimepanda

Kwa sasa biashara nyingi sana zinafunguliwa na hata zile zilizofunga virago awamu iliyopita zimerudi,
mishahara nayo imeongezeka, ndivyo vitu vikuu vilivyoongeza mzunguko wa pesa ila bei nazo zimepanda,
Ni CCM wale wale sahani iliyotumika kumlishia mbwa inatumika kumlishia binadamu.
 
Unaposema mlo mmoja unamaanisha nn?
Wewe huko unashiba ndo maana hujui kama kuna watu hawapati chakula kma unavyotakiwa
Lambeni asali lakini mkukumbuke hawa wanojisa chakula iko siku watakifata kwenu na ndo mtajua maumivu ya mtu kukosa chakula kwa kusababizshiwa na wahuni
 
Hoja iliyoletwa na malumbano ya hoja hii inadhihirisha Watanzania ni watu wa aina gani kupitia kwa hii sample.
 
Nimeona leo Uingereza wanaandamana sababu ni mfumuko wa bei na maisha magumu bwashekhe! Kumbe ndiyo uchumi wao unakua hivo! Bas hawana elimu embu kawaelimishe iasee
Uchumi uko kwenye ngazi kuu 2.

Uchumi developed inflation lazima iwe chini ya 4% Sasa huko ni zaidi ya 10% Kwa nini wasiandamane?

Uchumi wa Developing Nations inflation lazima iwe kuanzia 6-9% ndio italeta investments.
 
Dikteta aliharibu mifumo na mizizi ya uchumi ninyi mkabakia kukenua tu. Mama kaingingia hana pa kushika inabidi akope sana ili mambo yaende.

Kwahiyo pesa nyingi inaishia kwenye kulipa madeni.

Kimsingi huwezi kufanya malinganisho kati ya utawala ule na huu ambao unajikongoja kuinusuru nchi
Mental health is real!
 
Back
Top Bottom