Je?
1.TRA ITASIMAMISHA WAJIBU WAKE KWA 6 HRS?
2.MASHINE ZA MALIPO ZITAKUWA MUTED?
3.SERIKALI ITATOA SUBSIDY?
AU ITAKUWAJE? maana naibu rahiisi kasema hashindwi kwa tangazo hili lisilo na mipaka ndani ya jamhuri!
Mbeya jiandaeni kula gambe!!
Hamna vyovyote ambavyo theory za uchumi zinaweza kutuelekeza kwa mkuu mkoa kuingilia bei za bithaa sokoni. Isitoshe kwa sheria zetu hazimpi nafasi mkuu wa mkoa kuingilia utaratibu wa ukusanyaji mapato hapa Tanzania.Je?
1.TRA ITASIMAMISHA WAJIBU WAKE KWA 6 HRS?
2.MASHINE ZA MALIPO ZITAKUWA MUTED?
3.SERIKALI ITATOA SUBSIDY?
AU ITAKUWAJE? maana naibu rahiisi kasema hashindwi kwa tangazo hili lisilo na mipaka ndani ya jamhuri!
Mbeya jiandaeni kula gambe!!
Kalitafuta balaaaJiandae kwa lolote kama gentamycine atapita humu kila la heri mkuu
OyoooooHuyo mjinga mnavyomtukuza ndio maana anawatusi, who the fvck is Gentamycine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeandikwa; " wape masikini kilevi wasahau shida zao"Ninachojiuliza hivi kutoa ahadi ya kushusha bei ya vinywaji baada ya mechi kunasaidia kuongeza morali ya wachezaji na kuleta hamasa kwa mashabiki?
Unaelewa maana ya distortion wewe ajuza?Simple, atatumia "distortion".
Kuhusu huyo mtu upeo wake ni kama GENTAMYCINE au lemutuz, wanafanya ujinga ila ule ujinga wao wanauona ni ishu ya maana.
Jambo la hatari linakuja kwamba ukiwaambia nyie ni wajinga, arrogance yao inasema kwamba hiyo ndio IQ.?
Wewe mwanamke kwa visa huwezekani, bashite alisema atashusha vinywaji kwa nusu bei yaani 50% discount, haya tuambie njia atakazo tumia kufanya hiyo bei ishuke!Ukinijulisha atashusha kwa asilimia ngapi nitakufahamisha atatumia njia ipi.
Hii combination ya kusaidia taifa stars imeniacha hoi, eti dab, sepenga eti nini sijui! Nilitegemea kuona kataraia majeshi Minziro, Tenga, Mkwasa nk. Sasa kundi la bongo movie ndo linasaidia football! Siendi wala sitaki kusikia hiyo mechi.
Nafikiri kuna zero tax for six hours na
Mkuu ianelekea we hapa ndo unaongoza kwa kufananishwa na watuNinachofurahi tu ni kwamba nafananishwa na Watu mbalimbali na hatimaye leo tena nafananishwa na Le Mutuz wakati huko nyuma nilishafananishwa na Nape Nnauye mara Haji Manara mara tena Shaffih Dauda baadae tena nikafananishwa na Humphrey Polepole huku wengine pia wakinisema Mimi ni Hussein Bashe yaani ni Kufananishwa tu na Watu kila mara. Nadhani sasa labda nimebaki tu Kufananishwa na Baba yako Mzazi au Yesu Kristo au Mtume Muhammed.
Kweli GENTAMYCINE nawateseni na nawahenyesheni mno. Na hapa bado mtanikoma hadi mtanyooka na kwenda nitakavyo. Na labda kwa Faida yako / yenu tu Naitwa Kalemera Rwigyema Mazimpaka nina Uraia Pacha wa nchi tatu za Afrika Mashariki Tanzania, Rwanda na Uganda ( na usiniulize ni kwanini nina huu Uraia kwani si Kazi yako na wala haitokusaidia na cha Msingi jali tu Maisha yako ) na Shughuli zangu ni Kubwa tatu tu ambazo hata Mdau wangu britanicca anazijua ambazo ni 1. UKULIMA, 2. UFUGAJI na 3. UVUVI.
Elimu yangu ni ndogo sana siyo kama zenu yako / zenu Kubwa mlizonazo ambapo ninapambana sasa Kumalizia Masters Degree ( Shahada ya Uzamili ) ili nikimaliza hiyo nifanye tena Masters Degree yangu nyingine na mwishoni nije Kuanza Doctorate Degree yangu. Nia na madhumuni nataka nami nijitahidi nije kuwa Msomi kama Wewe na wale wote mnaonichukia kwani nyie Wenzangu mmesoma sana na kuelimika mno.
Mwisho kabisa utake usitake kama nitaendelea kuwa Hai hivi basi kati ya mwaka 2045 au 2055 kwa ' Mikakati ' yangu ambayo hata hivyo inaenda vizuri tu ndiyo nitakuja kuwa Rais wako wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivyo itakuwa ni Historia kwa mara ya Kwanza Mtandao huu wa JamiiForums kutoa Rais. Na labda nianze Kukuahidi tu kuwa nitakuwa Mmoja wa Marais wazuri sana ambao Tanzania hamkuwahi kuwapata ambapo nami nitafuata vyema nyayo za Marais niwapendao waliotawala Tanzania wakianzia na Kipenzi changu Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Benjamin Mkapa na huyu Rais wa sasa Dkt. John Magufuli.
Ni haya tu kwa sasa na naomba bandiko hili ' Wafowadie ' pia na wale ' Wapumbavu ' wenzio wote na lisambae upesi sana.
Mkuu ianelekea we hapa ndo unaongoza kwa kufananishwa na watu
Haha hayo ya kawaida sanaNa ipo Siku pia nitafananishwa nawe kwa ' ID ' yako. Ni suala la muda tu Mkuu.