Abshallom
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 223
- 413
Wakuu kwenye soko Kuna kitu/factor kinaitwa price elasticity, hapa ndipo atakapokwama. Muda alioutaja (6hrs) hauwezi kuaccomodate hiyo price elasticity. Kwa kifupi hakuna parameter itakayoapply kwa kuwa induced by external forces. Hiyo inawezekana tu kama sellers and retailers wakikubali na wakawa na utayari wa Kufanya hivyo. Siasa kwenye masuala ya kibiashara huwa haifiti sana.
NB:Kauli kama hizi huwa zina nguvu sana kwenye spot Market, kama vile stock and currency exchange market and not otherwise.
Sent using Jamii Forums mobile app
NB:Kauli kama hizi huwa zina nguvu sana kwenye spot Market, kama vile stock and currency exchange market and not otherwise.
Sent using Jamii Forums mobile app