Tetesi: Wachungaji kumpigia Kura Mch. Dkt. Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama kuwa Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani

Mpelekee hilo tobo ulilolikalia aanzie test hapo!

Muwe mnatafakuri kabla ya kuleta u-Chiloba wenu huku mitandaoni!
 
Naomba usiku na mchana, KKKT wasije wakamjibu Mchungaji Kimaro Wala kujibu chochote kutoka kwenye media. Kimaro hakutakiwa kuzungumza mambo yake kwenye public.
Kwamba hakutakiwa kuwaaga waumini?Kwamba angetakiwa kukaa kimya?Hiyo kitu inawezekana ROMA tu ambako Padri anapigiwa simu na kukatiwa tiketi ya ndege aende Vatican inakuwa imetoka hiyo.Ila kwa Lutheran sidhani.
 
Never Eti wachungaji ndo wakupigie kura uwe askofu ,Kaka unasali kanisa gani au dhehebu gani mnk uko shallow mno hata sizani Kama ulipata kipaimara Wala comnunio ya 1 na ya 2

Achana na mambo ya kkkt fatilia have za kanisa lenu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba hakutakiwa kuwaaga waumini?Kwamba angetakiwa kukaa kimya?Hiyo kitu inawezekana ROMA tu ambako Padri anapigiwa simu na kukatiwa tiketi ya ndege aende Vatican inakuwa imetoka hiyo.Ila kwa Lutheran sidhani.
Mbona point Iko very clear ndugu? SI angeweza kuaga bila kutamka maneno ya kuonyesha kama anaonelewa? Haya ya Kimaro yalinikuta CCT Chuo Kikuu 2007, kwahio Nina experience na ninayoongea.
 
Naomba usiku na mchana, KKKT wasije wakamjibu Mchungaji Kimaro Wala kujibu chochote kutoka kwenye media. Kimaro hakutakiwa kuzungumza mambo yake kwenye public.
Hamtaki uwazi tena, hivi manabii nao walifanya mambo yao kwa kuficho? Kwa hiyo asingewaaga waumini wake?
 
Kimaro kimaro, tulisema dini zimekuwa masoko na supermarket za watu.WASOMI WAZIMA HAWAONI KWAMBA CHANZO NI UPIGAJI.mungu hakuja kuchukua sadaka zake wachungaji wameamua kuzigombea.Nafurahia hivi visa ili mizimu ije itambulike kama imani.YAANI MILA NA DESTURI ZA KIBAFRIKA HUSUSANI ZA KIBONGO.
 
Atafaa sana.
 
Mbona point Iko very clear ndugu? SI angeweza kuaga bila kutamka maneno ya kuonyesha kama anaonelewa? Haya ya Kimaro yalinikuta CCT Chuo Kikuu 2007, kwahio Nina experience na ninayoongea.
Mkuu,Unafikiri angekaa kimya kusingekuwa na speculations?Unafikiri kaongea kwa sababu kapenda,Binafsi naamini kabisa katika vikao vya ndani kulikuwa na fukuto na inavoonekana kitendo cha yeye kusema sio kwa ajili ya kuleta mzozo katika kanisa nachokiona ni kuondokana na unafiki wa viongozi wa dini kutumia mamlaka yao kufanya maswala ya maovu kwa kujificha nyuma ya mwavuli wa vyeo vyao.

Nimetoa mfano wa ROMA.Katika kanisa la ROMA Padri hakatazwi kusema iwapo maamuzi yanakinzana ila mara zote Maamuzi yanapofanyika yanaeleweka kwamba hayawi challenged na ukiyachallenge unakuwa umekiuka kiapo.Kwa Upande wa Lutheran Mchungaji ni mwajiriwa ambaye analipwa mshahara na iwapo kuna mgogoro kati ya mwajiri na mwajiriwa ni haki kwa mwajiriwa kulalamika hasa pale maslahi yake yanapokuwa hatarini.

Nionavyo mimi kuna mgogoro wa kimaslahi na sio mgogoro wa kimajukumu na ndio maana akaamua kuweka mambow wazi ili ahakikishe maslahi yake yanazingatiwa hata kama watamwamisha usharika.
 
Anayepigiwa kura kuwa Askofu wa Dayosisi lazima awle Askufu wa Jimbo. Sasa mchungaji wa usharika atapigiwaje kura kuwa Askofu wa Dayosisi?
Hyo ndo katiba yenu.??askofu anapatikana hata akiwa mchungaji
 
Wachungaji wa mshahara nao ni tatizo! Tatizo kweli kweli!!!!!!!


JESUS IS LORD
 
Wachungaji wa mshahara nao ni tatizo! Tatizo kweli kweli!!!!!!!


JESUS IS LORD
Watakula nini?Mchungaji akiwa kwenye sharika TAJIRI kama KIJITONYAMA ana uhakika wa familia yake kuishi vizuri na yeye kuishi vizuri.Akifanya kazi na washarika vizuri na kuongeza idadi ya miradi ya kipato kwa usharika inafanya pia maslahi yake yazidi kukua.Iwapo utaona anafaidi zana matunda ya kazi yake na kutaka kumtoa na kumpeleka sehemu ambayo sadaka ni nusu kijiko na waumini ni Debe moja tena bila mantiki yoyote na kuzngatia uhalisia ni lazima kuwe na sintofahamu hasa kwa Mtu kama Kimaro ambaye amefanya kazi kubwa kutumia fursa zilizopo Kijitonyama kujenga usharika ule.Naamini kabisa viongozi wa dayosisi wanaweza kuwa na sababu za msingi kabisa ila kama lengo na sababu ni kuona kwamba SIKIO limezidi KICHWA basi nafikiri kutakuwa na TATIZO mahali katika hekima ya maamuzi yao.Ila kama lengo lao ni JEMA kwa huduma na washarika wa Kijitonyama basi nafikiri tusubiri siku 60 Zipite na tutajua mbivu na mbichi za hili sakata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…