bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Mkuu soma andiko vizuri, nafikiri ili uelewe vyema Anza kusoma mstari wa kwanza mpaka 13Kwa sababu hawawazi ngono kama wewe
Naunga mkono hojaNdio tatizo la kujulia dini ukubwani.
Hilo andiko mbona ni maarufu kwa Watu wote waliolelewa kwenye Dini.
Wewe ndio unalijua leo
Ndo maana unajua kusoma na kuandika ,sio Kila kitu akwambie mchungaji, soma biblia Kwa faida yako achana na wachungaji mkuu!š¤£KView attachment 2861971View attachment 2861972umbe kuna mtu alimwaga nje na wachungaji hamsemagišš someni Mwanzo 38:9..!šš
Ndo maana unajua kusoma na kuandika ,sio Kila kitu akwambie mchungaji, soma biblia Kwa faida yako achana na wachungaji mkuu!š¤£
Washafundishwa ila wanamioyo migumu...Mbona aliemwagia chini Mungu alimuua, ni dhambi. Wachungaji fundisheni vijana wenu.
Acha UPOTOSHAJI,Huwa nawaambia watu, kulala na mke wa ndugu yako wala sio kosa
Huu ni msimamo wangu mkuu!Acha UPOTOSHAJI,
Onani Alipewa mke wa nduguye aliyekufa Ili aendeleze uzao, maana nduguye alikufa bila kupata mtoto.
Ok sawa,Huu ni msimamo wangu mkuu!
We soma tu km hivi si unaona umegundua hiliš¤£Mbona mengine mengi tu wanatusomea na kutuhubiria?!!
Itabidi nije unihubirieWe soma tu km hivi si unaona umegundua hiliš¤£
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba sir God anawabaniaAkuna shida sema mungu anamakasiriko.
Bwana ni mkatili kiasi hiki lohAliyemwaga nje aliuwawa na Bwana, sasa hiyo ruksa imetoka wapi?
Sir God mkorofi looooh[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba sir God anawabania
Sana tuBwana ni mkatili kiasi hiki loh
KaribuItabidi nije unihubirie