Wachungaji na watu wa dini mbona hili hamsemagi?!!

Wazungu njee ndo nishashindwaga yani bora nimeze kisu ila sio kuwithdraw
 
Hivi kiboko ya wachawi na nabii clear malisa ndo wale manabii wajao? Mnaojua mtuambie.
Tusije tukawa tunachelewa
 
Kumbe hatuisomi vizuri Bible kuna vitu vingi wachungaji wanaviruka hawatuhubirii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…