- Thread starter
- #61
Hahahaha,sadaka tu ndio hutumwa hapo hapo,ili mtu apate upako inabidi awe sambamba na mhubiri,hata bwana Masia hakuwahi kuhubiri kwa Bluetooth,alifanya ana kwa ana!!Karibu
Tutahubiriana hapahapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha,sadaka tu ndio hutumwa hapo hapo,ili mtu apate upako inabidi awe sambamba na mhubiri,hata bwana Masia hakuwahi kuhubiri kwa Bluetooth,alifanya ana kwa ana!!Karibu
Tutahubiriana hapahapa
Sadaka na upako(anointing /nguvu za Mungu)havihusiani!Hahahaha,sadaka tu ndio hutumwa hapo hapo,ili mtu apate upako inabidi awe sambamba na mhubiri,hata bwana Masia hakuwahi kuhubiri kwa Bluetooth,alifanya ana kwa ana!!
Sijaelewa swali mkuu😅Hivi kiboko ya wachawi na nabii clear malisa ndo wale manabii wajao? Mnaojua mtuambie.
Tusije tukawa tunachelewa
Malisa anakutajia hadi jina la mganga wako shamba huko.isije ikawa ndo yesu mwenyeweSijaelewa swali mkuu😅
Ila mi najua Yesu ndo kiboko yao
Aah mbona kawaida tu mkuu!Malisa anakutajia hadi jina la mganga wako shamba huko.isije ikawa ndo yesu mwenyewe
Mbona wale wa makanisa makubwa hawana haya mambo?Aah mbona kawaida tu mkuu!
Wala hiyo isije shida!
Hata wenye pepo la utambuzi Wana uwezo huo!
Cha msingi we jua njia ni Yesu sio mtumishi,hao wanatumika tu
Makanisa makubwa yapi mkuu?Mbona wale wa makanisa makubwa hawana haya mambo?
Katoliki,wasabato,Lutheran n.k haya mambo makanisani mwao hamnaMakanisa makubwa yapi mkuu?
Au una maana Kwa papa huko etc?