Wachungaji nendeni Shinyanga mkawaombee wananchi

Wachungaji nendeni Shinyanga mkawaombee wananchi

Mtuache na imani zetu..bora dini za asili huwezi kuta machoko..kwanza ndio zilizolea na kukuza umoja na mshikamano kwa wazee wetu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Baadhi ya maeneo SHINYANGA wachungaji wa makanisa muende mkasimame kuombea wananchi wamwamini MUNGU, kuliko wanaamini nguvu za giza uganga ushirikina.

Nisipoteze mda moja kwa moja kwenye maada,, baadhi ya maeneo[emoji116]

Nm'angu, Solwa, Salawe , Mwamashimba

mimi nmehudhulia misiba baadhi unakuta msba unaendeshwa kiganga yaani mganga analetwa maiti inapotolewa ndani

unaona mganga anashugurika kuchanganya dawa anabadilisha hivi anaweka vile, maiti inawekwa ndani ya kaburi mganga tena anakua anachanganya madawa laivu kabsa akiwa amevalia mayoya ya mwewe, jamani hawamuogopi hata MUNGU

Niseme tu watu wengi wa mazingira hayo akikuvulia nguo mwili umekatwakatwa majeraha chale unaweza hata kuogopa kwakwel,

Ndg: wachungaji wekeni nguvu zenu maeneo hayo na kama kuna maeneo mengine zaidi lifanyieni kazi maana MUNGU ndye kimbilio letu sote.




Yuda exalioth
jamiiforums
Karbuni Geita
Ni Imani yao kama vile wewe ulivyoamua kuamini stories za dini za watu wa Mashariki ya Kati na Israel
 
Hueleweki. Kwanza hiyo Mhangu , Solwa na Salawe ndio nini ? Maana Solwa na Mhangu ni vijiji katika ile iliyokuwa ikiitwa utemi wa Salawe. Aidha utuambie ni wapi katika nchi hii ambako hakuna uchawi wala ushirikina. Injili ya Yesu Kristo lazima ihubiriwe katika mataifa yote na makabila yote. Usijitekenye hapa.
Kila mmoja na Imani yake. Wewe Baki na Yesu wako wengine na Imani zao
 
Baadhi ya maeneo SHINYANGA wachungaji wa makanisa muende mkasimame kuombea wananchi wamwamini MUNGU, kuliko wanaamini nguvu za giza uganga ushirikina.

Nisipoteze mda moja kwa moja kwenye maada,, baadhi ya maeneo[emoji116]

Nm'angu, Solwa, Salawe , Mwamashimba

mimi nmehudhulia misiba baadhi unakuta msba unaendeshwa kiganga yaani mganga analetwa maiti inapotolewa ndani

unaona mganga anashugurika kuchanganya dawa anabadilisha hivi anaweka vile, maiti inawekwa ndani ya kaburi mganga tena anakua anachanganya madawa laivu kabsa akiwa amevalia mayoya ya mwewe, jamani hawamuogopi hata MUNGU

Niseme tu watu wengi wa mazingira hayo akikuvulia nguo mwili umekatwakatwa majeraha chale unaweza hata kuogopa kwakwel,

Ndg: wachungaji wekeni nguvu zenu maeneo hayo na kama kuna maeneo mengine zaidi lifanyieni kazi maana MUNGU ndye kimbilio letu sote.




Yuda exalioth
jamiiforums
Karbuni Geita
TATIZO sio usukumani pekee, sehemu nyingi Tanzania hata Afrika kwa ujumla, imani zote zinaenda pamoja. Watu wakitoka kanisani kwenye maombi, wanaelekea kwenye matambiko na ushirikina wa kila aina. Wanaita utamaduni.

Nakumbuka nyakati fulani nilikuwa mji fulani uliokuwa ukivuma sana kwa makanisa mengi, nikakuta mzozo mkubwa sana kwenye kanisa moja la Assemblies of God wanakosali ndugu zangu. Niliduwaa sana kusikia washarika kadhaa wakidai baadhi ya wazee wa kanisa ni wachawi!; wanamroga mwenzao mmoja na familia yake kwa kuwadhibiti sana kwenye masuala ya makusanyo na matumizi kanisani.

Sasa sijui injili gani itasaidia.
 
ndio zilikwepo kabla wazungu hawajakuletea ukristo, kwa hiyo wewe ndio unatakiwa ujishangae
 
Hakuna haja ya wachungaji hio ndio imani yao kila mtu ana Uhuru wa kuabudu. Wewe upo sawa na imani yako na wao pia hawajakosea
Huoni kwamba ndio maana wanakatana mapanga kila leo na matukio ya ajabuajabu
 
Ukemee kwa lipi wakati ni imani yao......wewe una uhakika gani na hio imani yako imported
Wewe huoni kwamba imani za kishirikina hata mtu akifa kwa ajari wanaamini amerogwa ndio maana utaskia wamekatana mapanga, haya mambo ni yakukemea, msiwavimbishe vichwa
 
TATIZO sio usukumani pekee, sehemu nyingi Tanzania hata Afrika kwa ujumla, imani zote zinaenda pamoja. Watu wakitoka kanisani kwenye maombi, wanaelekea kwenye matambiko na ushirikina wa kila aina. Wanaita utamaduni.

Nakumbuka nyakati fulani nilikuwa mji fulani uliokuwa ukivuma sana kwa makanisa mengi, nikakuta mzozo mkubwa sana kwenye kanisa moja la Assemblies of God wanakosali ndugu zangu. Niliduwaa sana kusikia washarika kadhaa wakidai baadhi ya wazee wa kanisa ni wachawi!; wanamroga mwenzao mmoja na familia yake kwa kuwadhibiti sana kwenye masuala ya makusanyo na matumizi kanisani.

Sasa sijui injili gani itasaidia.
hapo kila mtu achague imani rakni kwaupande wa wale wanao amini uganga kuna madhara makubwa sana tofaut na wanaoamini MUNGU

hawa wa upande wapili wapili wanauana sana, wachungaji wa kwel waingilie wakemee itapunguza
 
Back
Top Bottom