Wachungaji nendeni Shinyanga mkawaombee wananchi

Wachungaji nendeni Shinyanga mkawaombee wananchi

Wewe huoni kwamba imani za kishirikina hata mtu akifa kwa ajari wanaamini amerogwa ndio maana utaskia wamekatana mapanga, haya mambo ni yakukemea, msiwavimbishe vichwa
Mbona na nyie huko mnaibia watu kwa mgongo wa sadaka...mambo yaleyale tu na nyie inabidi tuwakemee pia
 
hapo kila mtu achague imani rakni kwaupande wa wale wanao amini uganga kuna madhara makubwa sana tofaut na wanaoamini MUNGU

hawa wa upande wapili wapili wanauana sana, wachungaji wa kwel waingilie wakemee itapunguza
Shida unaposema Mungu, kila mtu ana namna yake ya uelewa wa Mungu, Mungu hayupo fixed tu kwenye ukristo na uislam......wazee wetu kabla hata ya hizo dini walishatambua uwepo wa Mungu na usilazimishe kwamba Mungu yupo hivi au vile kutokana na mapokeo yako ya hizo dini zilizoletwa
 
Hizo ndo dini za mababu zetu mkuu, kila MTU ana namna yake ya kufikisha shida/uhitaji wake kwa muumba wake.

Pia usisahau wachungaji nao huangalia status ya sehem ya kupata pesa na ndo imechangia wengi wao pia kukimbilia kwenye miji mikubwa.
 
Shida unaposema Mungu, kila mtu ana namna yake ya uelewa wa Mungu, Mungu hayupo fixed tu kwenye ukristo na uislam......wazee wetu kabla hata ya hizo dini walishatambua uwepo wa Mungu na usilazimishe kwamba Mungu yupo hivi au vile kutokana na mapokeo yako ya hizo dini zilizoletwa
#naby keita. Umempatia mwongozo sahihi kabisa hizi dini zingine tumeletewa tu
 
Hivi hawa unawasema wanaendekeza uganga Kanisa kongwe la mitume roman catholic halipo huko?. ama hao ndio washirika wao?.
 
Back
Top Bottom