Wachungaji wa Upendo TV kumuiga Mwakasege

Wachungaji wa Upendo TV kumuiga Mwakasege

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Sijui kama ni mimi tu, hivi kuna tatizo gani kila mhubiri anayehubiri upendo TV, awe Mchaga, Mhaya, Mndengereko, Msukuma au mnyakusa nakadhalika, anaiga sauti ya Mwakasege? au ndio wanaamini kuhubiri ni kutumia sauti ya Mwakasege?

Yule mwenzenu ile sauti ni ya kinyakyusa, pamoja na kuishi Arusha kwa miaka mingi lafudhi ya kinyakyusa haijamwondoka, wanaiga kuongea, kutembea, kuimba, gestures, kutunisha kifua, kupandisha mabega kila kitu.

Hivi kama mnamhubiri Mungu kweli kwenye mahubiri yenu, Mungu hawezi kuwapatia sauti ya kwenu? na wakitoka pale madhabahuni wanaongea lafudhi zilezile tu, au mnahubiri kimwili kwa kuiga vile mtu mwingine anavyofanya?
 
Sijui kama ni mimi tu, hivi kuna tatizo gani kila mhubiri anayehubiri upendo tv, awe mchaga, mhaya, mndengereko, msukuma au mnyakusa nakadhalika, ANAIGA SAUTI YA MWAKASEGE? au ndio wanaamini kuhubiri ni kutumia sauti ya mwakasege? yule mwenzeni ile sauti ni ya kinyakyusa, pamoja na kuishi Arusha kwa miaka mingi lafudhi ya kinyakyusa haijamwondoka....wanaiga kuongea, kutembea, kuimba, gestures, kutunisha kifua, kupandisha mabega kila kitu. hivi kama mnamhubiri Mungu kweli kwenye mahubiri yenu, Mungu hawezi kuwapatia sauti ya kwenu? na wakitoka pale madhabahuni wanaongea lafudhi zilezile tu, au mnahubiri kimwili kwa kuiga vile mtu mwingine anavyofanya?
Wanamuiga bosi wao😁
 
au wana roho ya mwakasege, inakuwaje kila anayehubiri anakoroma kama mwakasege?
 
Wataje kwa majina alaf ndio tutajuankama ni kweli ama unawasingizia
 
Kuna wengine mpaka wanatia kinyaa hata kuwasikiliza!
 
Wataje kwa majina alaf ndio tutajuankama ni kweli ama unawasingizia
wooote, hakuna hata mmoja. ukiwaangalia hadi wanatia huruma jinsi wanavyohangaika kukoroma kwama mwalimu
 
ulitaka waige sauti ya Hamornize au Diamond et
kwani kuhubiri lazima uige sauti ya mtu, wakati unayo ya kwako? au semina za spoonfeeding zimewaharibu, mnaamini mwalimu ni mtakatifu na ukihubiri kama yeye ndio kuhubiri kwenyewe? au nini kwani?
 
Sijui kama ni mimi tu, hivi kuna tatizo gani kila mhubiri anayehubiri upendo tv, awe mchaga, mhaya, mndengereko, msukuma au mnyakusa nakadhalika, ANAIGA SAUTI YA MWAKASEGE? au ndio wanaamini kuhubiri ni kutumia sauti ya mwakasege? yule mwenzeni ile sauti ni ya kinyakyusa, pamoja na kuishi Arusha kwa miaka mingi lafudhi ya kinyakyusa haijamwondoka....wanaiga kuongea, kutembea, kuimba, gestures, kutunisha kifua, kupandisha mabega kila kitu. hivi kama mnamhubiri Mungu kweli kwenye mahubiri yenu, Mungu hawezi kuwapatia sauti ya kwenu? na wakitoka pale madhabahuni wanaongea lafudhi zilezile tu, au mnahubiri kimwili kwa kuiga vile mtu mwingine anavyofanya?
Wajinga ndiyo waliwao.
 
Sijui kama ni mimi tu, hivi kuna tatizo gani kila mhubiri anayehubiri upendo tv, awe mchaga, mhaya, mndengereko, msukuma au mnyakusa nakadhalika, ANAIGA SAUTI YA MWAKASEGE? au ndio wanaamini kuhubiri ni kutumia sauti ya mwakasege? yule mwenzeni ile sauti ni ya kinyakyusa, pamoja na kuishi Arusha kwa miaka mingi lafudhi ya kinyakyusa haijamwondoka....wanaiga kuongea, kutembea, kuimba, gestures, kutunisha kifua, kupandisha mabega kila kitu. hivi kama mnamhubiri Mungu kweli kwenye mahubiri yenu, Mungu hawezi kuwapatia sauti ya kwenu? na wakitoka pale madhabahuni wanaongea lafudhi zilezile tu, au mnahubiri kimwili kwa kuiga vile mtu mwingine anavyofanya?
Kumbe MWAKASEGE ni mchaga!
 
Back
Top Bottom