Wachungaji wa Upendo TV kumuiga Mwakasege

Wachungaji wa Upendo TV kumuiga Mwakasege

Hapo unaonesha umekasirika kwa chuki za kijinga tu.

Ndiyo walewale.
Kwani uwongo. Sheikh hata akiwa msukuma aliyekulia usukumani huko akihubiri unaweza fikiria ametoka mombasa kwa waarabu koko, shida ni gani?
 
Ndio Maana Rais wa Rwanda aliwahi Kusema Kuwa kila anayeanzisha Kanisa ktk nchi yake awe na Elimu ya Theolojia.Kagame Alikuwa sahihi sana Maana Kuna Upuuzi mwingi sana unaoendelea kwa Wachungaji wetu uchwara.
 
Sijui kama ni mimi tu, hivi kuna tatizo gani kila mhubiri anayehubiri upendo TV, awe Mchaga, Mhaya, Mndengereko, Msukuma au mnyakusa nakadhalika, anaiga sauti ya Mwakasege? au ndio wanaamini kuhubiri ni kutumia sauti ya Mwakasege?

Yule mwenzenu ile sauti ni ya kinyakyusa, pamoja na kuishi Arusha kwa miaka mingi lafudhi ya kinyakyusa haijamwondoka, wanaiga kuongea, kutembea, kuimba, gestures, kutunisha kifua, kupandisha mabega kila kitu.

Hivi kama mnamhubiri Mungu kweli kwenye mahubiri yenu, Mungu hawezi kuwapatia sauti ya kwenu? na wakitoka pale madhabahuni wanaongea lafudhi zilezile tu, au mnahubiri kimwili kwa kuiga vile mtu mwingine anavyofanya?
Aisee umeongea upuuz wa mwaka. Sasa wewe unafuatilia sauti au ujumbe. Hii nchi wajinga hawaishi.
 
Back
Top Bottom