FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Futari haikaribishwi, utapoikuta unaingia unakula tu.na wewe bibi kizee naona umeibuka, si upo kwenye mfungo wewe, nikaribishe futari basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Futari haikaribishwi, utapoikuta unaingia unakula tu.na wewe bibi kizee naona umeibuka, si upo kwenye mfungo wewe, nikaribishe futari basi.
Kwani uwongo. Sheikh hata akiwa msukuma aliyekulia usukumani huko akihubiri unaweza fikiria ametoka mombasa kwa waarabu koko, shida ni gani?Hapo unaonesha umekasirika kwa chuki za kijinga tu.
Ndiyo walewale.
Tupe ushahidi.Kwani uwongo. Sheikh hata akiwa msukuma aliyekulia usukumani huko akihubiri unaweza fikiria ametoka mombasa kwa waarabu koko, shida ni gani?
Wewe bibi wa kiislamu haya hayakuhusu,Si upo Kwenye swaumu mzee?.Wajinga ndiyo waliwao.
Aisee umeongea upuuz wa mwaka. Sasa wewe unafuatilia sauti au ujumbe. Hii nchi wajinga hawaishi.Sijui kama ni mimi tu, hivi kuna tatizo gani kila mhubiri anayehubiri upendo TV, awe Mchaga, Mhaya, Mndengereko, Msukuma au mnyakusa nakadhalika, anaiga sauti ya Mwakasege? au ndio wanaamini kuhubiri ni kutumia sauti ya Mwakasege?
Yule mwenzenu ile sauti ni ya kinyakyusa, pamoja na kuishi Arusha kwa miaka mingi lafudhi ya kinyakyusa haijamwondoka, wanaiga kuongea, kutembea, kuimba, gestures, kutunisha kifua, kupandisha mabega kila kitu.
Hivi kama mnamhubiri Mungu kweli kwenye mahubiri yenu, Mungu hawezi kuwapatia sauti ya kwenu? na wakitoka pale madhabahuni wanaongea lafudhi zilezile tu, au mnahubiri kimwili kwa kuiga vile mtu mwingine anavyofanya?