Aiseeh Umezungumza Kitu kikubwa sana kwenye Imani ambayo wengi hawaijui! Hapa nina Ushuhuda!
Pia ukikumbuka wana wa israel walipofika bahari ya Shamu wakakosa njia yoyoye ile na kukata tamaa kwamba wanakuja kuuawa.Ndipo Mungu akamuuliza Musa una nini Mkononi mwako,? akajibu nina Fimbo ndipo akambiwa apige maji, ndipo bahari ya shamu ikagawanyika. Mungu anafanya Muujiza at the Point of No return.
Ushuhuda wangu! 2023 Nilikua mambo yangu yalikua yamevurugika kabisa nikawa nadaiwa kodi ya Miezi 6! jaribu huko kwa ndugu, jamaa na marafiki wate walinikimbia fanya kila namna hakuna chochote!
Hapo nikiwa nina sali sana na ndio option niliokua nayo hiyo Kupiga Goti na kumlilia Mungu tu,! Kwamba katika maisha yangu Mungu hajawahi kuniacha nikaaibika hata siku moja! Hapo mwenye nyumba nimemuahidi Jumapili ndio nitampa hiyo hela kwa IMANI na sijui nitapata wapi (1,020,000) Ila MOYONI nina amani na Imani kuwa Nitapata ! Aiseeh Jumapili nikaenda kanisa moja la kinabii hapa DSM na ndo ilikua mara yangu ya kwanza na kabla ya kwenda Mungu alinipa Ndoto mbili juu ya kanisa lile kuwa ni kanisa la Kweli, Kabla sijaenda Mungu alitengeneza CONNECTION kwenye Ulimwengu wa Roho! Aiseeh sitakuja kusahau hiyo siku Nabii aliniona na akanitumia hiyo 1,020,000 na nikapata utabiri mkubwa sana kwenye maisha yangu ambao upo mbioni kutimia
. Nika praise kwa Mungu na nikampa sifa na Utukufu Mungu aliye mbinguni!
Watu wakabaki wanashangaa pale hii imewezekanaje! Kumbe walishindwa kujua majira yake yalikua yametimia.!
Watumishi wa Kweli wa Mungu Wapo kabisa!
NB; Mambo ya Kiimani huyo mtoa Uzi asije kudhani ni rahisi rahisi hivo hasa kwa mambo ya Upande wa NURUNI maana Mungu ili ajifunue kwako lazima akupitishe kwenye HEKIMA zake ili akujenge vizuri kwa kupokea Baraka Zake.
Ninaweka picha na Muamala hapa
View attachment 3204958