Wachungaji Wanaodai Miujiza ya Uponyaji wakatoe huduma kwa wagonjwa mahospitalini.

Huyo sio mungu mwenye upendo,

That is a sadistic god.
 
yaani ili mungu anayekupenda akuponye anahitaji umuamini?

hivi msaada unatolewa kwa masharti kweli?

hebu tukae chini tutafakari kidogo

ukimuamini unamuongezea nini yeye muweza wa yote aliye kamilika?

acheni utani basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…