KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Kumbe inatakiwa kasauti kakoromepo, mwee. Halafu uwe na kasuti hata kamoja
Nabii hakubaliki kwao. NI wazi hawezi enda piga pale mtaani kwao kama anavyowapiga hapa daslam!!
Kasauti kakikoroma kdogo tu mtu anaaznisha kanisa
Wajinga ndio waliwao