Political stability
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 906
- 1,401
Masanja ni comedian, acheni hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Kuna mchungaji ambaye hana suti?Mpwa hii comment yako imenifurahisha sana.......ubarikiwe kwa kunipa tabasamu na kicheko siku ya leo......eti misuti kibao......
I really appreciate....
Wapi huko? 🐑🐏🐑🐏🐑🐏🐏🐏Kama kuna kanisa nilienda wanakwambia inua sadaka tuiombee sasa kama una jero au mia mbili huwezi kunyosha
Karibu san Seventh-day Adventist Church, hakika hutojutia.Ndo maana mimi hata kama sina imani kubwa ntazidi kuwaapreciate wasabato...yaan lazima ukasomee uchungaji...sio kisa unajiona una misuti kibao unajilabel mchungaji...bora waweke sheria kama Rwanda tu vikanisa uchwara vifutiliwe mbali
Tatizo lenu mnaogopa sana kufa.Karibu san Seventh-day Adventist Church, hakika hutojutia.
Masanja janja janja sanaDah!!!,Unabii unatimia sasa.
wivu tu, Masanja amehamishi niniKupitia ukurasa wake wa Facebook, Masanja Mkandamizaji anamsisitiza Diamond awape mimba wanawake kutoka nchi zote Africa Mashariki.
Huyu mchungaji chenga sana, anaacha kuhubiri toba na kuacha dhambi yeye anasisitiza Diamond awape mimba haraka huko nchi ambazo Bado Kisha aoe.
Dini imevamiwa
View attachment 1805515
Kwa mama,Wana Siri kuu iliyowaunganishaKwanza kabisa mafunzo ya uchungaji alichukulia kwa mama Rwakatare au alienda chuo?
Kama ni chuo, Ni kipi hicho?