Wachungaji wanaohamasisha uzinzi sio Nabii Tito peke yake, na Masanja Mkandamizaji yumo

Wachungaji wanaohamasisha uzinzi sio Nabii Tito peke yake, na Masanja Mkandamizaji yumo

Roman Catholic,huwezi kuta takataka dizaini ya Masanja! Hadi ufikie daraja la Ukasisi,utakua umesoma kweli kweli,na sio unaamka tu asubuhi,unajiita Mimi ni Kasisi

Mbinguni ni matendo, siyo shule.
 
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Masanja Mkandamizaji anamsisitiza Diamond awape mimba wanawake kutoka nchi zote Africa Mashariki.

Huyu mchungaji chenga sana, anaacha kuhubiri toba na kuacha dhambi yeye anasisitiza Diamond awape mimba haraka huko nchi ambazo Bado Kisha aoe.

Dini imevamiwa

View attachment 1805515
Duh!!!,Na waumini wake wanamsikiliza vizuri tu!!!.
 
Kanisa lake linaitwa Feel Free Church, haya makanisa ya Free Church yapo mengi sana duniani, sio makanisa ya kiroho, ila no makanisa ya watu kujumuika wasijione wadhambi sana au hawafai.
Makanisa haya hayakemei dhambi, uzinzi poa tu, ushoga nk.
Hebu jaribu ku Google utajifunza mengi sana kuhusu makanisa ya aina hii
Dah!!!,Unabii unatimia sasa.
 
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Masanja Mkandamizaji anamsisitiza Diamond awape mimba wanawake kutoka nchi zote Africa Mashariki.

Huyu mchungaji chenga sana, anaacha kuhubiri toba na kuacha dhambi yeye anasisitiza Diamond awape mimba haraka huko nchi ambazo Bado Kisha aoe.

Dini imevamiwa

View attachment 1805515
Kwani huyo Masanja ambaye unaonekana Kumchukia sana amekulazimisha uwe ' Unamfolo ' au ' Umpende ' Mkuu?

Sijaona baya hapo na acha Kutuboa pia.
 
Ni mwanachama mkubwa katumwa kupotosha. Wenye masikio kazi kwenu.
 
Roman Catholic,huwezi kuta takataka dizaini ya Masanja! Hadi ufikie daraja la Ukasisi,utakua umesoma kweli kweli,na sio unaamka tu asubuhi,unajiita Mimi ni Kasisi
Si ndio hawa mapadri wanao lawiti watoto wakiume dunia nzima???!!

Sasa kusoma kwao kumewasaidia nini mpaka wanalawiti watoto wadogo wakiume jamani??!!
 
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Masanja Mkandamizaji anamsisitiza Diamond awape mimba wanawake kutoka nchi zote Africa Mashariki.

Huyu mchungaji chenga sana, anaacha kuhubiri toba na kuacha dhambi yeye anasisitiza Diamond awape mimba haraka huko nchi ambazo Bado Kisha aoe.

Dini imevamiwa

View attachment 1805515

Kuna watu wanasali kwenye hii Kanisa?
 
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Masanja Mkandamizaji anamsisitiza Diamond awape mimba wanawake kutoka nchi zote Africa Mashariki.

Huyu mchungaji chenga sana, anaacha kuhubiri toba na kuacha dhambi yeye anasisitiza Diamond awape mimba haraka huko nchi ambazo Bado Kisha aoe.

Dini imevamiwa

View attachment 1805515
Hakuna mchungaji humo
 
Roman Catholic,huwezi kuta takataka dizaini ya Masanja! Hadi ufikie daraja la Ukasisi,utakua umesoma kweli kweli,na sio unaamka tu asubuhi,unajiita Mimi ni Kasisi
Kwa bahati mbaya elimu ya kiroho haihusiani kabisa na elimu ya kidunia
 
Roman Catholic,huwezi kuta takataka dizaini ya Masanja! Hadi ufikie daraja la Ukasisi,utakua umesoma kweli kweli,na sio unaamka tu asubuhi,unajiita Mimi ni Kasisi
Kanisa katoliki lina uongozi wa juu, hao makasisi na mapadri ni waajiriwa.

Ila Masanja yeye ndio Papa aka CEO.
 
Back
Top Bottom