Omela Odongo
Member
- Mar 26, 2021
- 47
- 67
Niliandika kimakosa ni mito ya baraka Kanisa lililopo Jangwani kwa Askofu Mwakiborwa alipokuwa akisali Masanja kabla ya kuanzisha kanisa lake.Asante kwa ufafanuzi. Huo Moto wa baraka ndio ukoje tena jamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliandika kimakosa ni mito ya baraka Kanisa lililopo Jangwani kwa Askofu Mwakiborwa alipokuwa akisali Masanja kabla ya kuanzisha kanisa lake.Asante kwa ufafanuzi. Huo Moto wa baraka ndio ukoje tena jamani?
Kwenye hiyo mito ndiko huchotwa maji ya baraka?Niliandika kimakosa ni mito ya baraka Kanisa lililopo Jangwani kwa Askofu Mwakiborwa alipokuwa akisali Masanja kabla ya kuanzisha kanisa lake.
Wasabato hawaanguki na mapepo kwa sababu hayajakemewa kwa sababu mwanadamu kama Hana Roho mtakatifu Basi ana Roho mchafu hawezi kuwa tupu (1Samweli 16:14)Big up kwa wasabato, Kwanza hawaangukagi mapepo
Roman Catholic,huwezi kuta takataka dizaini ya Masanja! Hadi ufikie daraja la Ukasisi,utakua umesoma kweli kweli,na sio unaamka tu asubuhi,unajiita Mimi ni Kasisi
Slogan name ya Kanisa lao.Kwenye hiyo mito ndiko huchotwa maji ya baraka?
No kweli Roman Catholic wanasoma kweli kweli lakini pamoja na kusoma bado kuna madudu ya kushangaza kwa hao makasisi wasomi.Roman Catholic,huwezi kuta takataka dizaini ya Masanja! Hadi ufikie daraja la Ukasisi,utakua umesoma kweli kweli,na sio unaamka tu asubuhi,unajiita Mimi ni Kasisi
Duh!!!,Na waumini wake wanamsikiliza vizuri tu!!!.Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Masanja Mkandamizaji anamsisitiza Diamond awape mimba wanawake kutoka nchi zote Africa Mashariki.
Huyu mchungaji chenga sana, anaacha kuhubiri toba na kuacha dhambi yeye anasisitiza Diamond awape mimba haraka huko nchi ambazo Bado Kisha aoe.
Dini imevamiwa
View attachment 1805515
Dah!!!,Unabii unatimia sasa.Kanisa lake linaitwa Feel Free Church, haya makanisa ya Free Church yapo mengi sana duniani, sio makanisa ya kiroho, ila no makanisa ya watu kujumuika wasijione wadhambi sana au hawafai.
Makanisa haya hayakemei dhambi, uzinzi poa tu, ushoga nk.
Hebu jaribu ku Google utajifunza mengi sana kuhusu makanisa ya aina hii
Kwani huyo Masanja ambaye unaonekana Kumchukia sana amekulazimisha uwe ' Unamfolo ' au ' Umpende ' Mkuu?Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Masanja Mkandamizaji anamsisitiza Diamond awape mimba wanawake kutoka nchi zote Africa Mashariki.
Huyu mchungaji chenga sana, anaacha kuhubiri toba na kuacha dhambi yeye anasisitiza Diamond awape mimba haraka huko nchi ambazo Bado Kisha aoe.
Dini imevamiwa
View attachment 1805515
Si ndio hawa mapadri wanao lawiti watoto wakiume dunia nzima???!!Roman Catholic,huwezi kuta takataka dizaini ya Masanja! Hadi ufikie daraja la Ukasisi,utakua umesoma kweli kweli,na sio unaamka tu asubuhi,unajiita Mimi ni Kasisi
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Masanja Mkandamizaji anamsisitiza Diamond awape mimba wanawake kutoka nchi zote Africa Mashariki.
Huyu mchungaji chenga sana, anaacha kuhubiri toba na kuacha dhambi yeye anasisitiza Diamond awape mimba haraka huko nchi ambazo Bado Kisha aoe.
Dini imevamiwa
View attachment 1805515
Wasabato hawaanguki na mapepo kwa sababu hayajakemewa kwa sababu mwanadamu kama Hana Roho mtakatifu Basi ana Roho mchafu hawezi kuwa tupu (1Samweli 16:14)
Ndio maana wanaitwa kondoo, hawajui walifanyalo
Hakuna mchungaji humoKupitia ukurasa wake wa Facebook, Masanja Mkandamizaji anamsisitiza Diamond awape mimba wanawake kutoka nchi zote Africa Mashariki.
Huyu mchungaji chenga sana, anaacha kuhubiri toba na kuacha dhambi yeye anasisitiza Diamond awape mimba haraka huko nchi ambazo Bado Kisha aoe.
Dini imevamiwa
View attachment 1805515
Kwa bahati mbaya elimu ya kiroho haihusiani kabisa na elimu ya kiduniaRoman Catholic,huwezi kuta takataka dizaini ya Masanja! Hadi ufikie daraja la Ukasisi,utakua umesoma kweli kweli,na sio unaamka tu asubuhi,unajiita Mimi ni Kasisi
Kanisa katoliki lina uongozi wa juu, hao makasisi na mapadri ni waajiriwa.Roman Catholic,huwezi kuta takataka dizaini ya Masanja! Hadi ufikie daraja la Ukasisi,utakua umesoma kweli kweli,na sio unaamka tu asubuhi,unajiita Mimi ni Kasisi