Matawi tiifu ni mengi kwa sasa ukianzia Simba wenyewe na viongozi wao kikombe hiki cha vipigo uwa awakiepukiInawezekana, ila pia kwa dodona jiji hakuna jipya, hilo ni tawi lao tiifu, maagizo na vibahasha vimetumika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matawi tiifu ni mengi kwa sasa ukianzia Simba wenyewe na viongozi wao kikombe hiki cha vipigo uwa awakiepukiInawezekana, ila pia kwa dodona jiji hakuna jipya, hilo ni tawi lao tiifu, maagizo na vibahasha vimetumika
Makolo mmeanza mkiona timu bora inapata matokeo mazuri mnaanza kelele mara mhame ligi, mara GSM kudhamini timu nyingi mara sindano au na nyinyi mmesahau kipind kile mnafanya vizuri zilitoka taarifa kuwa vyumba vya kubadilishia nguo timu pinzani mlikuwa mnapuliza dawa makolo tunawakuta hapo kilimani na tutaongoza ligi siku si nyingi Singida black stars hakuachi ana kikosi bora kuliko makoloKuna kila dalili kuwa hawa Vyura FC wamerudia issue zao za sindano.
Naomba mamlaka ziingilie kati na uchunguzi ufanyike.View attachment 3185370
Tutaona kwa Mazembe!mtaomba mengi mnooo
na mechi yetu na nyie mtaomba maji na hamtapewa
Yaani mashabiki wa Simba saa zingine sijui akili mnazipeleka wapi, hao Mazembe ni timu ngeni kwa Yanga? Hawakucheza first leg kule Lubumbashi na wakaishia kulala chini kwa majonzi baada ya filimbi ya mwisho? Kipindi cha pili chote wanaandamwa na mashambulizi hadi Yanga wakasawazishaTutaona kwa Mazembe!