Wadada bhana

Kipenseli

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
825
Reaction score
1,074
Asee.. Katika Pitapita zangu si nikakutana na hii nikasema kweli wadada noma

"Shoga bwana aliyekuhaidi atakulipia kodi nimemkuta anakata mauno ili ajishidie t shirt ya tigo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inachoma kama pasi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]"

Weka Meme uliyowahi kuiona kwa wadada[emoji116]
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] khaaaaaah hatareeeh sana lol
 
Huyo Dada Joanah kanifurahisha kwenye thread fulani namnukuu "kila nikitandika mkeka naangukia pua" mwisho wa kunukuu[emoji23][emoji23]


Aseee[emoji23]
 
Mie bora mtu aniite shost kuliko shoga aseee!

Neno shoga ni tusi
Na akikuita huwa unachukua hatua gani!? Au ndo Baada ya mazungumzo unamuambia sipendi hilo neno[emoji23]
 
Mie bora mtu aniite shost kuliko shoga aseee!

Neno shoga ni tusi
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] hapana bhana hata sio tusi, sema ni vile tunavo lichukulia tyuuuh.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] hapana bhana hata sio tusi, sema ni vile tunavo lichukulia tyuuuh.

Unajua shoga ni mtu wa namna gani?unajua anachofanywa?

Kama unajua huwezi kukubali kuwa shoga ama kuitwa shoga
 
Unajua shoga ni mtu wa namna gani?unajua anachofanywa?

Kama unajua huwezi kukubali kuwa shoga ama kuitwa shoga
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nimekupata dea, usijariiiiih
 
Unajua shoga ni mtu wa namna gani?unajua anachofanywa?

Kama unajua huwezi kukubali kuwa shoga ama kuitwa shoga
Aseee[emoji23]....et unajua anachofanywa[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…