Wadada/binti/mama

Na wale wasio na mpango wa kuolewa??Nwyz kwa hao unawatarget ndio ni sahihi kusema hapana kabla ya ndoa..ila ili kuepuka mishangao na migogoro isiyo ya lazima linapokuja swala la mapenzi ndani ya ndoa inabidi watu wajuane kabla!Hii ni sababu moja wapo ya kutoka nje ya ndoa...watu wanakua hawaridhishani kitandani kwahiyo wanatafutiana wasaidizi!
 
Oh, sorry. Napita tu!
 

du sasa na wewe sizinga ndio kucheka gani huko?
 

Kwa nini unafikiri kila mtu anataka kuoa/ kuolewa?
 

Kwa hiyo inaonyesha ni ngumu kabisa mtu kuishi bila kungonoka siyo, du basi kazi ipo
 

ok..
hawaridhishani kivipi?? Unatumia kigezo gani kujua?

Kwa hiyo utazunguka kwa wangapi mpaka upate anayekuridhisha?
Wale wote ambao wanaridhishana na ambao hawako kwenye ndoa wamejaribu wangapi??

Naomba unisaidie hapo...

Kwa dunia ya sasa ningekushauri wewe mleta mada kama unaamua kusubiri ufanye hivyo tu kwa usalama wako..
 
Kwa hiyo inaonyesha ni ngumu kabisa mtu kuishi bila kungonoka siyo, du basi kazi ipo

Sijasema ni ngumu ndo maana kuna mtu yuko singo miaka miwili na hajahusiana na mtu kimwili... ila kama unae kuna umuhimu wa kufahamiana nae kabla ya ndoa kama mnapanga kuelekea huko ili kila mmoja aridhike na mwenzake.Again..sio lazima!
 
Sijasema ni ngumu ndo maana kuna mtu yuko singo miaka miwili na hajahusiana na mtu kimwili... ila kama unae kuna umuhimu wa kufahamiana nae kabla ya ndoa kama mnapanga kuelekea huko ili kila mmoja aridhike na mwenzake.Again..sio lazima!

Duh
Habari wanaJF!!
Lizzy, mpendwa and Sarafina
 
Kumbe muoga hivi??? Ile speed uliyokuja nayo nilikuaminia kweli aaahhh umeniangusha sana bana hebu rudi

dena kwani sarafina ni mgeni eee?:nono:kwa habari ya hii thread ngoja nikatafakari kwanza
 
sarafina badilisha kichwa cha habari bana tuweze kuchangia. wengine tunaheshim katiba
 
acha utani bwana, hamna anayependa haya mambo bt da problem ni kwamba shuguli nzima z under vichocheo vya mwili, wapo wanaoamua kufanya hvyo bt the end of the day wanasaluti wenyewe. So in short huwezi pambana na vichocheo vya mwili
 
sarafina badilisha kichwa cha habari bana tuweze kuchangia. wengine tunaheshim katiba

Sarafina tafadhali usibadilishe, hii sredi itamiminika balaa
haswa hii dawa
 
acha utani bwana, hamna anayependa haya mambo bt da problem ni kwamba shuguli nzima z under vichocheo vya mwili, wapo wanaoamua kufanya hvyo bt the end of the day wanasaluti wenyewe. So in short huwezi pambana na vichocheo vya mwili

Waiz Boi habari yako?
 
Kama inazungumzia wanawake decent, sidhani kama unaweza kufanya kusudi. Wanaume wengi siku hizi hawataki kuuziwa "mbuzi kwenye kiroba. Ndio maana siku hizi mapadre wameshazoea kuona ma bi harusi wenye vitumbo. Any way usiumize kichwa.
 

Vigezo ni swala la kibinafsi zaidi.....kama Juma anavyomchagua Asha kua mke wake badala ya Ashura anakua ametumia vigezo anavyovijua yeye na ndio maana Amani atakuja kumuoa Ashura japo Juma hakuona anamfaa yeye.
Na kuridhishana kama ilivyo kwa wanaotafuta wachumba ni kwamba mtu anakua anajua wewe ni mtu wa aina gani,,,unapenda na unataka nini...hata kama kutakua na viwili au vitatu mnavyotofautiana bado wanaweza kuamua kua pamoja....hiyo ina maana kwamba kila mmoja ameamua kuridhika na mwenzake.

Juzi kuna mtu alianzisha thread kwamba anataka kutafuta nyumba ndogo kwasababu mke wake amekataa kuperfom oral sex.....mume haridhishwi na hiyo hali kwasababu alishazoea kabla ya kukutana na mwenzake na hakujua kwamba hilo litakua tatizo.Kama angejua kabla na bado akaamua kua nae hivyo hivyo asingekua na mawazo ya ''kutafuta nyumba ndogo'' kwasababu alijua hatapata na akaamua kukubaliana na hali halisi mapema...hapo asipobadili mawazo ndoa yao inaweza kuvunjika iwapo mkewe atagundua kwamba mumewe anatoka nje ya ndoa.
Mke nae haridhishwi na hali ya mumewe kutaka afanye kitu ambacho yeye hataki/hawezi......hivyo kadri atakavyomlazimisha ndivyo watakavyoongeza migogoro na kununa ndani ya nyumba kwasababu kila mmoja anaona kwamba hatendewi haki na mwenzake.

Swala kusema mtu atazunguka na wangapi ili apate wa kumridhisha ni relative....rejea kwenye maelezo ya juu.Lengo kuu ni kumjua ili umkubali na kuridhika na mwenzako alivyo kabla ya kuingia kwenye commitment ambazo ni ngumu kujitoa...
Sasa kuliko kuingia kwenye ndoa alafu uwe unatafuta chochote kile nje ya ndoa kwasababu hupati ndani ni ulimbukeni....soma...tambua...kubali...RIDHIKA.
 
Kwa nini waulize mabinti tu? Nyie mmesaliti wake zenu mara ngapi? Acheni hizo
 

Asante kwa maelezo marefu..
Ingawa umejaribu kuelezea mambo mengi yanaohusiana na kuridhika, lakini swali lilikuwa kuridhika KITANDANI? maana kwa maelezo yako unaamini wahusika wajuane kabla ya ndoa ili kuepusha migogoro baada ya ndoa?

Swali linabaki pale pale, je asiporidhika na perfomance yako, utamuacha na kwenda kutafuta mwingine? na huyo mwingine je asipotimiza kiu yako?

Kila mtu anaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia..je huu msemo ni wa kujilinda tu? ni nani anayependa kuonekana mbuzi kwenye gunia?...
 
dena kwani sarafina ni mgeni eee?<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/nono.gif" border="0" alt="" title="Nono" smilieid="233" class="inlineimg" />kwa habari ya hii thread ngoja nikatafakari kwanza
Mie nilishamshitukia jana kaja na avatar tayari,signature anaweza kumultiquote nilisituka nikasema mgeni mwenyeji huyu
 

Sasa hujaelewa niliposema kwamba kuridhika kitandani inategemea na mtu??
Na mfano nikakupa wa huyo kaka ambae haridhiki kwasababu hafanyiwi anachotaka...kwa maana hiyo kila mtu ana anachotaka/penda na kutopata kwake ndiko kunakoamua kwamba ataamua kuridhika au la!!!Na swali lako la kama mtu atatoka asiporidhika pia nilijibu bila wewe kuuliza kwenye huo huo mfano.....''kaka anataka kutoka'' kwahiyo wapo watakaoenda kwingine na wengine labda watavumilia.

Unless sasa unataka nijibu kuhusu mimi binafsi nadhani maswali yako yamejibiwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…