Wadada/binti/mama

Kwa nini usishindane nayo si maamuzi tu? kwani we huwa huvumilii ukishikwa na hamu ya bia halafu hela huna?

Natafuta alternative nahamia kwenye Mnazi, Kibuku, Gongo, Choya, Mbege, Komoni, Msabe na Ulanzi.
 
Ambacho hajaelewa ni nini mpenzi naogopa kushambuliwa wakati bado mgeni, nikakimbia jukwaa kabla ya wakati my dia

Hapo uko na kiibodi una wasiwasi,uso kwa uso inakuaje.??..,usiogope we' simamia unachoamini daima kitufurahishe au kisitufurahishe..
 
Tendo la ndoa???? siku hizi hilo haliwezekani wachahe sana wanaweza kuvumilia mpaka ndoa. ila ushauri ni mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…